Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel yasaidia wanawake wenye kansa

UMOJA wa wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania unaofahamika kwa jina la ‘Airtel Divas’ wameandaa hafla ya kuchangisha fedha ili kusaidia kinamama wanaosumbuliwa na maradhi ya kansa katika Hospitali ya Ocean...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi Airtel wachangisha fedha kwa ajili ya wanawake wanaougua kansa

Wafanyakazi wanawake wa Airtel wakitoa huduma ya chakula kwa wafanyakazi wenzao wakati wa tafrija fupi waliyoiandaa kwa dhumuni la kukusanya fedha ili kuwachangia wagonjwa wa kansa waliopo hospitali ya ocean road jijini Dar es salaam. jana Mkurugenzi mtendaji wa Airtel Tanzania, Bw. Sunil Colaso akichangia fedha kwa huduma ya Airtel Money kupitia simu wakati wa tafrija fupi iliyoandaliwa na umoja wa wanawake wa Airtel Tanzania kwa dhumuni la kuwachangia wanawake wanaosumbuliwa na maradhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel Divas yasaidia wanawake walemavu

UMOJA wa Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Airtel (Airtel Divas) umejitoa kusaidia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (Swauta) kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam. Wafanyakazi hao wa Airtel...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wanawake 30 wapima kansa Sabasaba


NA WILLIAM SHECHAMBO
WANAWAKE 30 wamejitokeza kupima afya zao ikiwemo saratani za kizazi na matiti kwenye banda la Taasisi ya Kansa ya Ocean Road,  katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam. 
Mmoja wa madaktari wa taasisi hiyo, Dk. Rehema Ngomola, alisema kati ya kinamama hao, mmoja ndiye aliyekutwa na viashiria vya saratani ya kizazi.
Alisema kutokana na takwimu hizo, idadi ya kinamama wenye maradhi ya ya saratani ya matiti na kizazi, inapungua hivyo kuwataka kujitokeza...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Kansa inaua wanawake 250,000 kila mwaka

Na Albano Midelo TAKWIMU zinaonyesha kuwa kila mwaka nchini Tanzania akina mama zaidi ya 8,000 hufariki dunia kutokana na matatizo mbalimbali ya uzazi. Wanawake pia wanakabiliwa na tatizo jingine la kiafya ambalo ni ugonjwa wa saratani au kansa ya kizazi ambayo inaelezwa ndiyo inayoongoza katika kusababisha vifo vitokanavyo na kansa kwa akina mama waliopo katika nchi zinazoendelea. Utafiti unaonyesha kwamba akina mama zaidi ya 500,000 hupatwa na ugonjwa wa kansa ya uzazi kila mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Text to treatment’ yasaidia wenye fistula

  HUDUMA ya matibabu kwa njia ya simu ya mkononi ‘Text to Treatment’ inayotolewa kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Vodacom Tanzania na taasisi isiyo ya kiserikali ya CCBRT katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yasaidia samani Polisi Oysterbay

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeendelea kuunga mkono serikali kupitia Jeshi la Polisi Usalama Barabarani kwa kuwapatia vifaa vya ofisi kwa ajili ya Kituo cha Usalama Barabarani...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

MO Dewji Foundation yatoa msaada wa Mil. 110/- kwa Taasisi inayowasaidia watoto wenye kansa ya Tumaini la Maisha

IMG_8716

Meneja Mwendeshaji wa Taasisi ya MO Dewji, Francesca Tettamanzi (kulia) akitoa neno la ukaribisho kwa uongozi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha inayohudumia watoto wenye kansa nchini na waandishi wa habari katika hafla  fupi ya kukabidhi msaada wa fedha kwa ajili ya watoto wenye kansa iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za MeTL Group jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mmoja wa Wakurugenzi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha, Gerard Mongera  na Wa pili kushoto ni Ofisa anayesimamia...

 

10 years ago

Michuzi

CBA yasaidia wenye mahitaji maalumu kupitia mashindano ya mbuzi

Afisa mwandamizi wa Masoko wa Benki ya CBA, Solomon Kawiche akikabidhi mfano wa hundi ya sh laki sita kwa Sue Hurford ambaye mbuzi wao aliibuka kidedea wa shindano lililopewa jina la CBA ‘Sparkers’ lililodhaminiwa na benki hiyo wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Fedha hiyo itapewa Hospitali ya CCBRT. Mbuzi wakitimua mbio ili kumpata mshindi wa shindano katika mbio za mbuzi​lililopewa jina la 'CBA Sparkers’ lililodhaminiwa na benki ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani