Airtel yasaidia wanawake wenye kansa
UMOJA wa wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania unaofahamika kwa jina la ‘Airtel Divas’ wameandaa hafla ya kuchangisha fedha ili kusaidia kinamama wanaosumbuliwa na maradhi ya kansa katika Hospitali ya Ocean...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWafanyakazi Airtel wachangisha fedha kwa ajili ya wanawake wanaougua kansa
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Airtel Divas yasaidia wanawake walemavu
UMOJA wa Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Airtel (Airtel Divas) umejitoa kusaidia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (Swauta) kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam. Wafanyakazi hao wa Airtel...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Wanawake 30 wapima kansa Sabasaba
NA WILLIAM SHECHAMBO
WANAWAKE 30 wamejitokeza kupima afya zao ikiwemo saratani za kizazi na matiti kwenye banda la Taasisi ya Kansa ya Ocean Road, katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
Mmoja wa madaktari wa taasisi hiyo, Dk. Rehema Ngomola, alisema kati ya kinamama hao, mmoja ndiye aliyekutwa na viashiria vya saratani ya kizazi.
Alisema kutokana na takwimu hizo, idadi ya kinamama wenye maradhi ya ya saratani ya matiti na kizazi, inapungua hivyo kuwataka kujitokeza...
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Kansa inaua wanawake 250,000 kila mwaka
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
‘Text to treatment’ yasaidia wenye fistula
HUDUMA ya matibabu kwa njia ya simu ya mkononi ‘Text to Treatment’ inayotolewa kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Vodacom Tanzania na taasisi isiyo ya kiserikali ya CCBRT katika...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Airtel yasaidia samani Polisi Oysterbay
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeendelea kuunga mkono serikali kupitia Jeshi la Polisi Usalama Barabarani kwa kuwapatia vifaa vya ofisi kwa ajili ya Kituo cha Usalama Barabarani...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
MO Dewji Foundation yatoa msaada wa Mil. 110/- kwa Taasisi inayowasaidia watoto wenye kansa ya Tumaini la Maisha
Meneja Mwendeshaji wa Taasisi ya MO Dewji, Francesca Tettamanzi (kulia) akitoa neno la ukaribisho kwa uongozi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha inayohudumia watoto wenye kansa nchini na waandishi wa habari katika hafla fupi ya kukabidhi msaada wa fedha kwa ajili ya watoto wenye kansa iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za MeTL Group jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mmoja wa Wakurugenzi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha, Gerard Mongera na Wa pili kushoto ni Ofisa anayesimamia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JIFPnS19jZ8/VWre_YCuL5I/AAAAAAAHa7w/fK5W0rf64BM/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
CBA yasaidia wenye mahitaji maalumu kupitia mashindano ya mbuzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-JIFPnS19jZ8/VWre_YCuL5I/AAAAAAAHa7w/fK5W0rf64BM/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iF6XW1X9BmI/VWrfAHhax3I/AAAAAAAHa70/Fgdgk2uDHp8/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)