WANAOSUMBULIWA NA MARADHI YA FISTULA WATAKIWA KUJITOKEZA WATIBIWE BURE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WEJ3mfTOKlo/VkHek4HvW_I/AAAAAAAIFMg/eE16RXLJZtM/s72-c/001.CCBRT.jpg)
Kaimu Ofisa mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kulia) akizungumza na baadhi ya wakina mama wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika hospitali ya CCBRT wakati bodi ya Vodacom Foundation ilipowatembelea hospitalini hapo ili kujua maendeleo yao ya kiafya. Mfuko huo unawawezesha akina mama kusafirishwa kutoka mikoani kwa kutumiwa pesa za kuja kutibiwa hospitalini hapo kupitia huduma ya M-PESA.
Bi.Muhoja Masano anayepatiwa matibabu ya maradhi ya Fistula katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hbaQzBx6Vgc/VY0fEOC9CzI/AAAAAAAHkMU/W9abDXgSWyc/s72-c/1.jpg)
Watanzania waaswa kujitokeza katika harambee ya kuchangia wanahabari wanaosumbuliwa na magonjwa sugu
![](http://3.bp.blogspot.com/-hbaQzBx6Vgc/VY0fEOC9CzI/AAAAAAAHkMU/W9abDXgSWyc/s640/1.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YATUA WILAYA YA KIBONDO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GgDCa5DLrPo/VW2c6TasLjI/AAAAAAAHbN8/iKeFRcmXsrQ/s72-c/001.jpg)
KAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YATUA WILAYANI UVINZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GgDCa5DLrPo/VW2c6TasLjI/AAAAAAAHbN8/iKeFRcmXsrQ/s640/001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uwqWfBnCZgU/VWLzckxAO5I/AAAAAAAHZo4/0yUr4QLROyk/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
ZAIDI YA WANAWAKE 2500 KWA MWAKA HUPATWA NA MARADHI YA FISTULA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uwqWfBnCZgU/VWLzckxAO5I/AAAAAAAHZo4/0yUr4QLROyk/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
GPLKAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YAENDELEA WILAYANI UVINZA-KIGOMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLKKNb3TFgSICOTLtyxojQbw6W00c23Vg8TzgnhNRXsIlifJmfqZvRFFLytF7YAFuLKYUOThPg0COR0XldKrnAE/004.jpg?width=650)
ZAIDI YA WANAWAKE 2500 KWA MWAKA HUPATWA NA MARADHI YA FISTULA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s72-c/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WENYE UGONJWA WA FISTULA KUJITOKEZA NA KWENDA KUPATA MATIBABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s1600/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
Wanawake wenye tatizo la ugonjwa wa Fistula wametakiwa kutokuogopa na kukaa kimya bali wajitokeze hadharani kwa kwenda Hospitali kupata matibabu au kuwaambia viongozi wao ili waweze kuwasaidia kwani ugonjwa huo unatibika na matibabu yake ni bure.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
75% hawajui kama Fistula inatibiwa bure
IMEBAINIKA kuwa asilimia 75 ya wanawake jijini Dar es Salaam, hawajui kwamba matibabu ya Fistula hutolewa bure. Hayo yalibainika juzi wakati wa mahojiano kati ya Tanzania Daima Jumapili na wanawake...
10 years ago
MichuziMkuu wa Wilaya Igunga awaambia wananchi “Chonde chonde fichueni wanaoficha wenye maradhi ya Fistula”