Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


75% hawajui kama Fistula inatibiwa bure

IMEBAINIKA kuwa asilimia 75 ya wanawake jijini Dar es Salaam, hawajui kwamba matibabu ya Fistula hutolewa bure. Hayo yalibainika juzi wakati wa mahojiano kati ya Tanzania  Daima Jumapili na wanawake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WANAOSUMBULIWA NA MARADHI YA FISTULA WATAKIWA KUJITOKEZA WATIBIWE BURE

  Kaimu Ofisa mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kulia) akizungumza na baadhi ya wakina mama wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika hospitali ya CCBRT wakati bodi ya Vodacom Foundation ilipowatembelea hospitalini hapo ili kujua maendeleo yao ya kiafya. Mfuko huo unawawezesha akina mama kusafirishwa kutoka mikoani kwa kutumiwa pesa za kuja kutibiwa hospitalini hapo kupitia huduma ya M-PESA. Bi.Muhoja Masano anayepatiwa matibabu ya maradhi ya Fistula katika...

 

9 years ago

Bongo5

Diddy aachia Mixtape mpya ‘MMM’ bure kama zawadi ya birthday yake (Isikilize yote)

diddy2

Jumatano ya November 4 ilikuwa ni birthday ya Sean John Combs maarufu kama Diddy ambaye amefikisha miaka 46.

diddy2

Katika kusheherekea birthday yake, rapper huyo mkongwe aliamua kuwa-surprise mashabiki wake kwa kuachia mixtape mpya ‘MMM’ (Money Making Mitch) ambayo ameitoa bure kwa yeyote anayetaka kudownload.

“Good Afternoon World!! Today is a big day!!! I am releasing a SONIC MOTION PICTURE, which is FREE and AVAILABLE EVERYWHERE. I want to thank everybody that has supported me over the years...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Vanessa Mdee — Hawajui

Vanessa Mdee ameachia video ya ‘Hawajui’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini. Itazame hapa.

 

11 years ago

GPL

MAMTEI HAWAJUI WOLPER, WEMA

Nyemo chilongani
MUIGIZAJI wa kike aliyetamba katika Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu, Cecilia Sospeter ‘Mamtei’ ametoa kali ya aina yake baada ya kusema hawajui wasanii kutoka Bongo Movie, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper. Cecilia Sospeter ‘Mamtei’. Muigizaji huyo aliyejifungua mtoto wake wa pili wiki kadhaa zilizopita, aliyasema hayo juzikati alipokuwa akihojiwa na paparazi wetu nyumbani kwake...

 

9 years ago

Habarileo

Vijana hawajui taratibu za uchaguzi

LICHA ya vijana na wanawake wengi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, imebainika wagombea wengi hawajui utaratibu wa uchaguzi na mbinu mkakati za kuwaletea ushindi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mabalozi wa nyumba 10 hawajui kusoma’

IMEELEZWA kuwa mabalozi wa nyumba 10 wanaochaguliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawajui kusoma wala kuandika hali inayorudisha nyuma maendeleo ya eneo husika. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mjini Dodoma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vee Money aanika siri ya Hawajui

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema aliamua kusambaza ngoma yake mpya ya ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya wadau wa muziki huo kusema hakustahili...

 

10 years ago

Habarileo

22.4% Tanzania bara na 15.8% Z’bar hawajui kusoma

KWA mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, takwimu zinaonesha kuwa watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 15 na kuendelea wasiojua kusoma na kuandika ni asilimia 22.4 Tanzania bara na asilimia 15.8 Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?

Wiki iliyopita tulichapisha habari ya kushtusha kwamba Watanzania milioni 14 hawajui kusoma wala kuandika. Ni habari ya kushtusha kwa sababu idadi hiyo ya wananchi mbumbumbu ni kubwa mno, kwa maana kwamba ni sawa na asilimia 33 ya Watanzania wote ambao ni milioni 44.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani