75% hawajui kama Fistula inatibiwa bure
IMEBAINIKA kuwa asilimia 75 ya wanawake jijini Dar es Salaam, hawajui kwamba matibabu ya Fistula hutolewa bure. Hayo yalibainika juzi wakati wa mahojiano kati ya Tanzania Daima Jumapili na wanawake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEJ3mfTOKlo/VkHek4HvW_I/AAAAAAAIFMg/eE16RXLJZtM/s72-c/001.CCBRT.jpg)
WANAOSUMBULIWA NA MARADHI YA FISTULA WATAKIWA KUJITOKEZA WATIBIWE BURE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WEJ3mfTOKlo/VkHek4HvW_I/AAAAAAAIFMg/eE16RXLJZtM/s640/001.CCBRT.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HFQ3F77e16E/VkHelAh8n5I/AAAAAAAIFMY/Hgpgh48p4jI/s640/002.CCBBRT.jpg)
9 years ago
Bongo507 Nov
Diddy aachia Mixtape mpya ‘MMM’ bure kama zawadi ya birthday yake (Isikilize yote)
![diddy2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/diddy2-300x194.jpg)
Jumatano ya November 4 ilikuwa ni birthday ya Sean John Combs maarufu kama Diddy ambaye amefikisha miaka 46.
Katika kusheherekea birthday yake, rapper huyo mkongwe aliamua kuwa-surprise mashabiki wake kwa kuachia mixtape mpya ‘MMM’ (Money Making Mitch) ambayo ameitoa bure kwa yeyote anayetaka kudownload.
“Good Afternoon World!! Today is a big day!!! I am releasing a SONIC MOTION PICTURE, which is FREE and AVAILABLE EVERYWHERE. I want to thank everybody that has supported me over the years...
10 years ago
Bongo508 Dec
New Video: Vanessa Mdee — Hawajui
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf2WGMPegcNbUWz1bHVq4a-ppqP4tbJLhxzF*jZ81TGv8OibjtTvDSFPv6Bwm0TyJndL8EVQS57OIk5YXj0TZ-1w/mamtei.jpg?width=650)
MAMTEI HAWAJUI WOLPER, WEMA
9 years ago
Habarileo15 Oct
Vijana hawajui taratibu za uchaguzi
LICHA ya vijana na wanawake wengi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, imebainika wagombea wengi hawajui utaratibu wa uchaguzi na mbinu mkakati za kuwaletea ushindi.
11 years ago
Tanzania Daima11 May
‘Mabalozi wa nyumba 10 hawajui kusoma’
IMEELEZWA kuwa mabalozi wa nyumba 10 wanaochaguliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawajui kusoma wala kuandika hali inayorudisha nyuma maendeleo ya eneo husika. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mjini Dodoma...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Vee Money aanika siri ya Hawajui
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema aliamua kusambaza ngoma yake mpya ya ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya wadau wa muziki huo kusema hakustahili...
10 years ago
Habarileo24 Mar
22.4% Tanzania bara na 15.8% Z’bar hawajui kusoma
KWA mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, takwimu zinaonesha kuwa watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 15 na kuendelea wasiojua kusoma na kuandika ni asilimia 22.4 Tanzania bara na asilimia 15.8 Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?