Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZAIDI YA WANAWAKE 2500 KWA MWAKA HUPATWA NA MARADHI YA FISTULA‏

Baadhi ya  wakazi wa Kata ya Nyakanazi  Wilaya ya Biharamulo  mkoani Kagera  wakiwa kwenye mkutano wa  kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na Fistula inayowakabili wanawake hapa nchini,Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania kupitia taasisi yake ya Vodacom Foundation  imezinduliwa mwishoni mwa wiki na itafanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wakina mama kujitokeza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WANAWAKE 2500 KWA MWAKA HUPATWA NA MARADHI YA FISTULA

 Baadhi ya  wakazi wa Kata ya Nyakanazi  Wilaya ya Biharamulo  mkoani Kagera  wakiwa kwenye mkutano wa  kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na Fistula inayowakabili wanawake hapa nchini,Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania kwa kupitia taasisi yake ya Vodacom Foundation  imezinduliwa mwishoni mwa wiki na itafanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wakina mama kujitokeza ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa kwa mwaka wastani ya...

 

10 years ago

GPL

VITABU 2500 KWA SHULE ZA SEKONDARI NA ZA MSINGI JUMLA YA MILIONI 218 ZINAHITAJIKA‏

Afisa  Mkuu Ugawaji Rasmali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Mozes Nyirenda , akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani ) juu ya hafla ya kutafuta uwezo  wa Kununua Vitabu 2,500 vyenye thamani ya shilingi milioni 218, kwa ajili ya kusaidia shule 10 za msingi na Sekondari  za Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Hafla hiyo itafanyika usiku wa Oktoba 3 mwaka huu kwenye hoteli ya serena wapili kushoto ni...

 

9 years ago

Michuzi

WANAOSUMBULIWA NA MARADHI YA FISTULA WATAKIWA KUJITOKEZA WATIBIWE BURE

  Kaimu Ofisa mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kulia) akizungumza na baadhi ya wakina mama wanaotibiwa maradhi ya Fistula katika hospitali ya CCBRT wakati bodi ya Vodacom Foundation ilipowatembelea hospitalini hapo ili kujua maendeleo yao ya kiafya. Mfuko huo unawawezesha akina mama kusafirishwa kutoka mikoani kwa kutumiwa pesa za kuja kutibiwa hospitalini hapo kupitia huduma ya M-PESA. Bi.Muhoja Masano anayepatiwa matibabu ya maradhi ya Fistula katika...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YATUA WILAYANI UVINZA

 Umati wa wakazi wa kata ya Nguruka Wilaya ya Uvinza Kigoma wakiwa kwenye mkutano wa  kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na maradhi ya  Fistula yanayowakabili wanawake hapa nchini,Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania kupitia taasisi yake ya Vodacom Foundation  inaendelea kufanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wakina baba kuwaruhusu wakina mama wajitokeze  ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni  wastani ya wanawake 3,000...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YATUA WILAYA YA KIBONDO

Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Kumwamba iliyopo Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma walijumwika na wakazi wa wilaya hiyo katika viwanja vya Community Centre wakimsiliza Meneja Biashara wa Idara ya Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Grace Lyon wakati alipokuwa akiwafafanulia jambo kuhusiana na maradhi ya Fistula. Wakati wa kampeni ya kutokomeza maradhi hayo inayoendelea kufanyika katika mikoa mitatu nchini,Kampeni hiyo inaendeshwa na Hospitali ya CCRBT kwa kushirikiana na Vodacom Foundation....

 

10 years ago

GPL

KAMPENI YA KUTOKOMEZA MARADHI YA FISTULA YAENDELEA WILAYANI UVINZA-KIGOMA

Wakazi wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wakimsikiliza kwa makini  Meneja Biashara Idara ya Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Grace Lyon (wapili kutoka kushoto ) alipokuwa akiwafafanulia jambo wakina baba hao kuhusiana na kampeni inayoendelea katika mikoa mitatu nchini ya kuelimisha  wakina baba na wananchi kwa ujumla kuwaruhusu wakina mama wajitokeze  ili wakatibiwe maradhi fistula kwani yanatibika, Inakadiriwa ni wastani ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Maradhi ya njia ya mkojo yenye kuchochea VVU kwa wanawake

Maradhi mengi ya zinaa huweza kudumu mwilini kwa muda mrefu kutokana na mwathirika kupuuzia athari ndogondogo zinazoweza kuvumilika lakini madhara yake ni makubwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake

Wanaume wengi wamekutwa na ugonjwa huo zaidi na wanaonekana kupatwa na maafa mabaya.

 

9 years ago

GPL

MO DEWJI ANYAKUA TUZO YA MWAKA YA MFANYABIASHARA ANAYESAIDIA ZAIDI JAMII‏

Mkurugenzi Mtendaji wa CNBC Africa, Roberta Naicker akimkabidhi tuzo ya '2015 Philanthropist of the year-East Africa' Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji katika sherehe zilizofanyika hoteli ya DusitD2 jijini Nairobi. Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji akizungumza kwenye hafla ya tuzo za All Africa Business Leaders Awards 2015 (AABLA). Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa CNBC...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani