VITABU 2500 KWA SHULE ZA SEKONDARI NA ZA MSINGI JUMLA YA MILIONI 218 ZINAHITAJIKA
Afisa Mkuu Ugawaji Rasmali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Mozes Nyirenda , akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani ) juu ya hafla ya kutafuta uwezo wa Kununua Vitabu 2,500 vyenye thamani ya shilingi milioni 218, kwa ajili ya kusaidia shule 10 za msingi na Sekondari za Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Hafla hiyo itafanyika usiku wa Oktoba 3 mwaka huu kwenye hoteli ya serena wapili kushoto ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAASISI ISIYO YA KISERIKALI YA NKWAMIRA YAANDA HAFLA YA KUCHANGIA VITABU 2500 KWA SHULE ZA SEKONDARI NA ZA MSINGI JUMLA YA MILIONI 218 ZINAHITAJIKA
10 years ago
GPLTANZANIA NA MAREKANI WASHEREHEKEA USAMBAZAJI WA VITABU MILIONI 2.5 KWA AJILI YA SHULE ZA SEKONDARI NCHINI
 Wananchi waliojitokeza katika sherehe ya makabidhiano ya vitabu milioni 2.5 vya sayansi na hisabati kwa shule za sekondari za serikali nchini. Vitabu hivyo kutoka  serikali ya watu wa Marekani vilikabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress katika hafla iliyofanyika Shule ya Sekondari Mtakuja Beach iliyopo Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam leo. Hafla hiyo ilifanyika katika shule hiyo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwF*2TpFRW1rw4utV76C5l2MZU8tOS6VkgyuEueHteWUGObvyKx*jxFIyI4Ll-fdpUK36s6pOOFvy3Iq3t5kNVKU/1.jpg?width=650)
AIRTEL YAKABIDHI VITABU VYA SAYANSI KWA SHULE YA SEKONDARI MAZINDE DAY KOROGWE
Meneja mauzo Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Aluta Kweka ( kulia) pamoja na Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Hafsa Mtasiwa (wa kwanza kushoto) akifatia na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Korogwe Patricia Andrew Mbigili (katikati) wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya mazinde Day wakionyesha vitabu walivyokabidhi na Airtel ikiwa na lengo la kutatua changamoto ya uhaba wa vitabu...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0019.jpg)
UNESCO KUPITIA READ INTERNATIONAL WATOA MSAADA WA VITABU VYA SAYANSI KWA SHULE YA SEKONDARI MWEDO ARUMERU
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin Yusuph akipokelewa na Mwalimu wa Taaluma na msimamizi wa Maktaba wa Shule ya wasichana ya Mwedo, Joseph Mangomes alipofika shuleni hapo kukabidhi msaada wa vitabu vya masomo ya Sayansi uliotolewa na Shirika la Read International kupitia UNESCO. Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin… ...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0481.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Mmoja wa watoto akionyesha kipaji chake wakati wa mazoezi kwa vitendo kupitia hadithi mbalimbali walizosoma kutoka kwenye vitabu. Na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2jekBNKxw4do1Rnz29peZA4biDsG5sZTxXB9tNJRF44T*rIvPFrjfY2sOFnlheHYsTuZUejWAGffALi7i*VzkW1/mbaga2.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
Ofisa Masoko wa kampuni ya simu ya Airtel Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Jonas Mmbaga, akionesha vitabu kabla ya kumkabidhi mkuu wa shule ya Sekondari ya Mbeya, Magreth Haule (kushoto) wakati walipofika shuleni hapo kutoa msaada wa vitabu vya masomo mbalimbali kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mbeya iliyopo jijini na Mkoa wa Mbeya, Magreth Haule (kushoto)… ...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0144.jpg)
JAPAN YACHANGIA SH. MILIONI 160 SHULE YA MSINGI KAKUNI
Kaimu Balozi wa Japan, Bw. Kazuyoshi Matsunaga akisoma risala fupi mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) wakati wa hafla fupi ya utiaji saini mkataba wa msaada wa shilingi milioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam. Baadhi ya watendaji ofisi ya Waziri Mkuu waliohudhuria hafla hiyo fupi ya utiaji saini mkataba wa msaada...
10 years ago
MichuziAirtel yatoa vitabu kwa shule ya sekondari Shibula Mwanza
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Shibula iliyoko Mkoani Mwanza wamefaidika na vitabu kupitia mradi wa Airtel shule yetu ambapo Airtel imetoa msaaada wa vitabu vya sayansi vyenye thamani ya shilingi milioni moja na Laki tano vitakavyowawezesha wanafunzi hao kupata elimu bora.
Kwa zaidi ya miaka 10 sasa mpango huu wa Airtel shule yetu umekuwa ukisaidia shule za sekondari kwa kuwapatia nyenzo muhimu kma vile vitabu, vifaa za kufundishia , madawati, kuboresha majengo ya shule lengo likiwa ni...
Kwa zaidi ya miaka 10 sasa mpango huu wa Airtel shule yetu umekuwa ukisaidia shule za sekondari kwa kuwapatia nyenzo muhimu kma vile vitabu, vifaa za kufundishia , madawati, kuboresha majengo ya shule lengo likiwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s72-c/1%2B(2).jpg)
Airtel yatoa msaada wa vitabu kwa shule za sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s1600/1%2B(2).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania