TAASISI ISIYO YA KISERIKALI YA NKWAMIRA YAANDA HAFLA YA KUCHANGIA VITABU 2500 KWA SHULE ZA SEKONDARI NA ZA MSINGI JUMLA YA MILIONI 218 ZINAHITAJIKA
Afisa Mkuu Ugawaji Rasmali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Mozes Nyirenda , akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani ) juu ya hafla ya kutafuta uwezo wa Kununua Vitabu 2,500 vyenye thamani ya shilingi milioni 218, kwa ajili ya kusaidia shule 10 msingi na Sekondari za Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Hafla hiyo itafanyika usiku wa Oktoba 3 mwaka huu kwenye hoteli ya serena wapili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Nkwamira ,Noreen...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLVITABU 2500 KWA SHULE ZA SEKONDARI NA ZA MSINGI JUMLA YA MILIONI 218 ZINAHITAJIKA
10 years ago
GPLTANZANIA NA MAREKANI WASHEREHEKEA USAMBAZAJI WA VITABU MILIONI 2.5 KWA AJILI YA SHULE ZA SEKONDARI NCHINI
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
TIPER yasaini makubaliano kuchangia vitabu vya masomo ya sayansi Shule ya Sekondari Vijibweni
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni inayoifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER), Bw Daniel Belair, akikabidhi vitabu vya sayansi vikiwemo vya Fizikia, Baolojia na Kemia kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Vijibweni, Bw Itumbo Kinyonyi wakati wa sherehe ya kusaini makubaliano yatakayoiwezesha kampuni hiyo kuchangia vitabu 200 vyenye thamani ya Shilingi milioni nne kwa shule hiyo iliyopo eneo la Kigamboni wilaya ya Temeke. Shughuli hiyo ilifanyika jana katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lqwQd5V2GDI/VGytMMqUM2I/AAAAAAACu_Y/Z-OyehU411M/s72-c/20141118_102356.jpg)
Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Forum CC yaandaa kongamano la vijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqwQd5V2GDI/VGytMMqUM2I/AAAAAAACu_Y/Z-OyehU411M/s1600/20141118_102356.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTBhna_f0Ro/VGytKWsld1I/AAAAAAACu_I/c95BmCYWxto/s1600/20141118_100555.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s72-c/1%2B(2).jpg)
Airtel yatoa msaada wa vitabu kwa shule za sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s1600/1%2B(2).jpg)
10 years ago
MichuziAirtel yatoa vitabu kwa shule ya sekondari Shibula Mwanza
Kwa zaidi ya miaka 10 sasa mpango huu wa Airtel shule yetu umekuwa ukisaidia shule za sekondari kwa kuwapatia nyenzo muhimu kma vile vitabu, vifaa za kufundishia , madawati, kuboresha majengo ya shule lengo likiwa ni...
10 years ago
MichuziJK apokea vitabu vya sayansi kwa shule za Sekondari vilivyochapishwa kwa msaada wa watu wa marekani
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
TICTS yakabidhi msaada wa vitabu kwa shule ya msingi Mivinjeni jijini Dar
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/215.jpg)