JK apokea vitabu vya sayansi kwa shule za Sekondari vilivyochapishwa kwa msaada wa watu wa marekani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda baada ya kuwasili katika Shule ya Sekondari ya Mtakuja huko Kunduchi jijini Dar e salaam leo tayari kwa kukagua ujenzi wa maabara na pia kupokea na kugawa vitabu vya sayansi vilivyochapishwa na Watu wa Marekani.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua maabara katika Shule ya Sekondari ya Mtakuja huko Kunduchi jijini Dar e salaam ambako pia alipokea na kugawa vitabu vya sayansi vilivyochapishwa na Watu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
UNESCO kupitia READ INTERNATIONAL watoa msaada wa vitabu vya Sayansi kwa shule ya sekondari MWEDO Arumeru
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin Yusuph akipolewa na Mwalimu wa Taalum na msimamizi wa Maktaba wa Shule ya wasichana ya Mwedo, Joseph Mangomes alipofika shuleni hapo kukabidhi msaada wa vitabu vya masomo ya Sayansi uliotolewa na Shirika la Read International kupitia UNESCO.
Na Mwandishi wetu, Arumeru
Wanafunzi wa shule ya Mwedo sekondari iliyopo wilayani Arumeru wamelishukuru Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kupitia Read International la...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0019.jpg)
UNESCO KUPITIA READ INTERNATIONAL WATOA MSAADA WA VITABU VYA SAYANSI KWA SHULE YA SEKONDARI MWEDO ARUMERU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HnCGJhcAG9I/Vjm2gEaGrKI/AAAAAAAAvfw/0MFs_VCdTo8/s72-c/unnamedA1.jpg)
Airtel yakabidhi vitabu vya sayansi kwa shule ya sekondari Mazinde Day Korogwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-HnCGJhcAG9I/Vjm2gEaGrKI/AAAAAAAAvfw/0MFs_VCdTo8/s640/unnamedA1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwF*2TpFRW1rw4utV76C5l2MZU8tOS6VkgyuEueHteWUGObvyKx*jxFIyI4Ll-fdpUK36s6pOOFvy3Iq3t5kNVKU/1.jpg?width=650)
AIRTEL YAKABIDHI VITABU VYA SAYANSI KWA SHULE YA SEKONDARI MAZINDE DAY KOROGWE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s72-c/1%2B(2).jpg)
Airtel yatoa msaada wa vitabu kwa shule za sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s1600/1%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
TIPER yasaini makubaliano kuchangia vitabu vya masomo ya sayansi Shule ya Sekondari Vijibweni
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni inayoifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER), Bw Daniel Belair, akikabidhi vitabu vya sayansi vikiwemo vya Fizikia, Baolojia na Kemia kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Vijibweni, Bw Itumbo Kinyonyi wakati wa sherehe ya kusaini makubaliano yatakayoiwezesha kampuni hiyo kuchangia vitabu 200 vyenye thamani ya Shilingi milioni nne kwa shule hiyo iliyopo eneo la Kigamboni wilaya ya Temeke. Shughuli hiyo ilifanyika jana katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cMWxpucSd30/VEju5VLEdoI/AAAAAAAGs5s/lPk-JM7SAe0/s72-c/unnamed%2B(92).jpg)
Airtel yatatua changamoto za uhaba wa vitabu vya sayansi Katika shule ya Sekondari Mukulati Mkoani Arusha
Licha ya Kada ya sayansi kuwa ndio chimbuko kubwa la wataalamu wengi katika fani mbalimbali bado inatajwa kutofanya vizuri kutokana na uhaba wa miundombinu na vifaa stahiki ambayo ni muhimu kwa maendeleo ya kada hiyo.
Meneja wa Airtel...
10 years ago
GPLAIRTEL YATATUA CHANGAMOTO ZA UHABA WA VITABU VYA SAYANSI KATIKA SHULE YA SEKONDARI MUKULATI MKOANI ARUSHA
10 years ago
GPLTANZANIA NA MAREKANI WASHEREHEKEA USAMBAZAJI WA VITABU MILIONI 2.5 KWA AJILI YA SHULE ZA SEKONDARI NCHINI