Watanzania waaswa kujitokeza katika harambee ya kuchangia wanahabari wanaosumbuliwa na magonjwa sugu
![](http://3.bp.blogspot.com/-hbaQzBx6Vgc/VY0fEOC9CzI/AAAAAAAHkMU/W9abDXgSWyc/s72-c/1.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya kuratibu Harambee ya kuwachangia waandishi wa habari wanaougua maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa sugu wa saratani Bw. Benjamin Thompson Kasenyenda akitoa wito kwa watanzania wote wenye mapenzi mema kujitokeza kwa wingi kushiriki katika harambee hiyo itakayofanyika katika viwanja vya Leaders club,siku ya Jumamosi Julai 4,2015 wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam.kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
RC Dar ashiriki kampeni maalum ya kuwachangia wanahabari wanaosumbuliwa na magonjwa sugu
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Paul Makonda akiongeza na washiriki katika tukio la kuchangia mfuko kwa ajili ya wanahabari wanaougua magonjwa sugu hasa saratani ambapo alisema kuwa wamiliki wa vyombo vya habari hawana budi kuwajali wanahabari na kuwapatia huduma muhimu ikiwemo Mikataba ya Kazi pamoja na Bima za matibabu ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi na uadilifu, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. kulia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick na Kushoto ni...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Watanzania waaswa kuchangia elimu
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amesema watanzania wanapaswa kuondokana na dhana kuwa jukumu la kutoa elimu bora linapaswa kubebwa na serikali peke yake. Amesema dhana...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEJ3mfTOKlo/VkHek4HvW_I/AAAAAAAIFMg/eE16RXLJZtM/s72-c/001.CCBRT.jpg)
WANAOSUMBULIWA NA MARADHI YA FISTULA WATAKIWA KUJITOKEZA WATIBIWE BURE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WEJ3mfTOKlo/VkHek4HvW_I/AAAAAAAIFMg/eE16RXLJZtM/s640/001.CCBRT.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HFQ3F77e16E/VkHelAh8n5I/AAAAAAAIFMY/Hgpgh48p4jI/s640/002.CCBBRT.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s72-c/12.jpg)
Zaidi ya sh. Milioni 100 zapatikana katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund jijini dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s1600/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcqsRuQmZhE/VCg2ySvjhsI/AAAAAAAAnWw/dOwT6RVazNA/s1600/10.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dPD7SXCXwFM/VgPxsCMN3fI/AAAAAAAAueo/zf3lPLjnVTE/s72-c/IMG_9192.jpg)
WAIMBAJI NYIMBO ZA INJILI WAAOMBA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-dPD7SXCXwFM/VgPxsCMN3fI/AAAAAAAAueo/zf3lPLjnVTE/s640/IMG_9192.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gkmW7jQKfSE/VgPxtWQl0xI/AAAAAAAAues/7CxsND3_Xls/s640/IMG_9249.jpg)
10 years ago
MichuziUTT-AMIS YATOA WITO KWA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA MASUALA YA UWEKEZAJI
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Watanzania waaswa katika sherehe za Idd
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salumu.
Na Mwandishi wetu
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salumu amewaasa watanzania kusherehekea sikukuu ya Idd El fitri kwa uadilifu na kuacha dhambi kwani hazimpendezi Mwenyezi Mungu.
Akizungumza Jumapili asubuhi, Julai 27, 2014, alisisitiza kuwa kwa sasa jamii inapaswa kujiandaa vema na sikukuu hiyo na ni wakati mzuri wa jamii ya watanzania kuendelea kutenda mema
“sio kwamba kwa sababu watu wamemaliza kipindi cha mfungo, ndio...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_oeDTsN3sfo/VLZ-AywIn0I/AAAAAAAG9WM/oRP1htL-fuE/s72-c/DSC_0474.jpg)
WATANZANIA WAASWA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA UWEKEZAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_oeDTsN3sfo/VLZ-AywIn0I/AAAAAAAG9WM/oRP1htL-fuE/s1600/DSC_0474.jpg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii ,Dar
Watanzania wametakiwa kuonyesha ushirikiano katika sekta ya uwekezaji ili kuweza kuwavutia wawekezaji wa nje kuwekeza nchini.
Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, Soud Ahmed Al-Rahili alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati walipokuwa wakijadili masuala ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s72-c/01.jpg)
Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBbLlBsHP5o/VCf4iEASEnI/AAAAAAAGmSw/a0Ay_I8KGPw/s1600/02..jpg)