Zaidi ya sh. Milioni 100 zapatikana katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund jijini dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s72-c/12.jpg)
Mgeni Rasmi katika hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoawa Dar es Salaam,Ndg. Ramadhan Madabida akitoa hotuba yake kabla ya kuanza kuendesha harambee hiyo,iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.Zaidi ya sh. Milioni 100 zilipatikana katika harambee hiyo.
Mwenyekiti Mwanzilishi wa Bonnah Education Trust Fund,Bonnah Kaluwa akitoa hotuba yake kwa wageni wa mbali mbali (hawapo pichani)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s72-c/12.jpg)
hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund yafana jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-XKfcZHvkwWA/VCg2xm6jR_I/AAAAAAAAnWs/lqq6nqRBNKo/s1600/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tcqsRuQmZhE/VCg2ySvjhsI/AAAAAAAAnWw/dOwT6RVazNA/s1600/10.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4XE2BS6XW78/U7PaSS9deKI/AAAAAAAFuNY/l4SPDrFEM0U/s72-c/unnamed+(27).jpg)
Bonnah Education Trust Fund kuwasomesha sekondari wanafunzi 100
![](http://1.bp.blogspot.com/-4XE2BS6XW78/U7PaSS9deKI/AAAAAAAFuNY/l4SPDrFEM0U/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovD4hvZR11Y/U7PaSVN4ZdI/AAAAAAAFuNU/NG6eW7zZF9c/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
MichuziMILIONI 319 ZAPATIKANA KATIKA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA KATOLIKI LA MAKONGO JUU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s72-c/mm1.jpg)
JK AFANIKISHA HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI, 1.6bn/- zapatikana usiku huu diamond jubilee hall dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s1600/mm1.jpg)
10 years ago
IPPmedia23 Jul
Trust Fund seeks to boost education sector
IPPmedia
The North Mara Community Trust Fund has introduced a project which will involve the use of digital facilities to boost the country's education sector . African Centre for Education Excellence (ACEE) in collaboration with BrainShare company from Uganda ...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YZahbBOF8yA/VdmhS0rH4dI/AAAAAAAB6Ck/gVPLcCLDieA/s72-c/DSC_3937.jpg)
Harambee ya kuchangia mfuko wa Maendeleo Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://3.bp.blogspot.com/-YZahbBOF8yA/VdmhS0rH4dI/AAAAAAAB6Ck/gVPLcCLDieA/s640/DSC_3937.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J9vJBfqrRLk/VdmhSuxZ0rI/AAAAAAAB6Cg/MH8HHcOodGE/s640/DSC_3945.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GFk3WvMhsTs/Xt_hbFUjenI/AAAAAAALtOw/JaJvHUItbag2mQsNfNEbX84GdUhWCTdBgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TIRA KUCHANGIA ZAIDI YA SH BILIONI 2 MFUKO MKUU WA SERIKALI
KAMISHNA wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), Dk Mussa Juma amesema mamlaka hiyo inatarajia kutoa Sh Bilioni 2 ikiwa ni mchango wake kwenye mfuko mkuu wa serikali.
Dk Juma amesema hatua hiyo inakuja baada ya sekta hiyo ya Bima kukua nchini na hivyo kuonelea kwamba inawapasa nao kama mamlaka kuchangia mfuko huo.
Hayo ameyasema jijini Dodoma wakati akijibu maswali na hoja za wabunge ambao ni wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya bajeti ambayo ilikutana na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hbaQzBx6Vgc/VY0fEOC9CzI/AAAAAAAHkMU/W9abDXgSWyc/s72-c/1.jpg)
Watanzania waaswa kujitokeza katika harambee ya kuchangia wanahabari wanaosumbuliwa na magonjwa sugu
![](http://3.bp.blogspot.com/-hbaQzBx6Vgc/VY0fEOC9CzI/AAAAAAAHkMU/W9abDXgSWyc/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WhQWBqZ5_FI/VTN1F_GjPuI/AAAAAAAHR9w/rAilCeOPvgo/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mkazi wa Kawe jijini Dar ajishindia Kitita cha Tsh milioni 100 za Jaymillions