WATANZANIA WAASWA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA UWEKEZAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_oeDTsN3sfo/VLZ-AywIn0I/AAAAAAAG9WM/oRP1htL-fuE/s72-c/DSC_0474.jpg)
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, Soud Ahmed Al-Rahili akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es salaam leo.
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii ,Dar
Watanzania wametakiwa kuonyesha ushirikiano katika sekta ya uwekezaji ili kuweza kuwavutia wawekezaji wa nje kuwekeza nchini.
Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, Soud Ahmed Al-Rahili alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati walipokuwa wakijadili masuala ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboTANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI
10 years ago
Vijimambo13 Mar
Tanzania na China kuendeleza ushirikiano kwenye Sekta ya Uwekezaji na Viwanda
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia
![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdQV_aYMEUY/VAiRmIXd6TI/AAAAAAAGeF4/vD-JuEJ3YQk/s1600/unnamed%2B(92).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dBDvX5cjTVI/VAiRmWm0ELI/AAAAAAAGeF8/wZjBs1Dhj8s/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
10 years ago
MichuziWatanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lPL0d_5TPqM/Xr06hiOqYiI/AAAAAAALqMo/JPKknIH_utsN7bH9ANsmiRtVSzruUX8WwCLcBGAsYHQ/s72-c/B32A9577.jpg)
Naibu Waziri Nyongo awataka viongozi wa vijiji kushiriki kutoa elimu ya uwekezaji sekta ya madini kupunguza migogoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-lPL0d_5TPqM/Xr06hiOqYiI/AAAAAAALqMo/JPKknIH_utsN7bH9ANsmiRtVSzruUX8WwCLcBGAsYHQ/s640/B32A9577.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9560.jpg)
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Juma Sweda (shati ya draft) nyuma yao ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Fredy Mahobe na wajumbe wengine wakitoka kukagua jengo lililoandaliwa kwa ajili ya kufungua soko la madini la wilaya hiyo. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9560.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9571.jpg)
10 years ago
MichuziBARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA
10 years ago
MichuziTanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji
5 years ago
MichuziMatukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rZGcwBda_8g/VVH7nk9ByCI/AAAAAAAAAiM/91d77aHgo5g/s72-c/IMG_9384.jpg)
WAKALA WA MISITU WAHAMASISHA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NYUKI.
Hayo yamezungumzwa na Afisa ufugaji nyuki mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Mwanahamisi Mapolu wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Mapolu amesema kuwa wawekezaji wajikite zaidi katika usimamiaji wa viwanda vitakavyozalisha...