Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Naibu Waziri Nyongo awataka viongozi wa vijiji kushiriki kutoa elimu ya uwekezaji sekta ya madini kupunguza migogoro


Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Juma Sweda (shati ya draft) nyuma yao ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Fredy Mahobe na wajumbe wengine wakitoka kukagua jengo lililoandaliwa kwa ajili ya kufungua soko la madini la wilaya hiyo. (Picha na Wizara ya Madini).
.Mkurugenzi wa Kampuni ya Busolwa Mining LTD, Baraka Ezekiel akielezea jambo kwa ujumbe ulioambatana na Naibu Waziri Nyongo wakati wa ziara ya kukagua kusikiliza na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Nyongo amaliza mgogoro kwenye machimbo ya madini Handeni.


Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akizungumza na wananchi kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020.
Wananchi wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (hayupo pichani) kwenye eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga tarehe 25 Juni, 2020 .
Mmoja wa wananchi wa eneo la machimbo ya dhahabu la Kwandege lililopo wilayani Handeni mkoani Tanga...

 

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI NYONGO AUTAKA UONGOZI WA STAMIGOLD KUSHIRIKIANA NA WAFANYAKAZI KUZALISHA MADINI KWA UFANISI



Na Nuru Mwasampeta, WM
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameutaka uongozi wa Mgodi wa Stamigold kuwajali wafanyakazi na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuongeza uzalishaji katika mgodi huo.  Amesema ,uongozi wa wizara utafika mgodini hapo mara kwa mara kusikiliza na kutatua changamoto zao ili kuongeza uzalishaji.
Amewataka viongozi hao kufanya kazi na wasambazaji na wataalamu  wa nje  wenye uadilifu na ufanisi  mkubwa ili kusaidia katika kuongeza  uzalishaji mgodini hapo. “Msione shida...

 

5 years ago

Michuzi

UKUSANYAJI MAPATO SEKTA YA MADINI WAMKOSHA WAZIRI DOTTO BITEKO, AIMWAGIA SIFA GGML KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KATIKA MKOA WA GEITA

 Makamu wa Rais anayeshughulikia Maendeleo Endelevu katika Kampuni ya GGML, Simon Shayo akizungumza katika ziara ya Waziri wa Madini, Dotto Biteko aliyetembelea miradi ya kampuni hiyo inayotekelezwa chini ya mpango wa kusaidia jamii (CSR) mkoani Geita. Waziri wa Madini Dotto Biteko akitoa pongezi za serikali kwa GGML baada ya kutembelea miradi hiyo. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel  na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga wakati kushoto ni baadhi ya...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI



 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (kulia) akisikiliza hoja na malalamiko kutoka kwa mmoja wadau wa sekta ya uvuvi katika Kijiji cha Kigombe Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga.Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe. Jumaa Aweso ( wa kwanza kutoka kulia) akifuatiwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wakikagua punda...

 

10 years ago

Dewji Blog

Naibu Waziri aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa

1 - NW E Malecela

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya  Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Cosmas Mwaisobwa (kulia) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majuku ya Bodi kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela leo (Jumatano, Aprili 22, 2015) jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri alifanya ziara ya kikazi katika Bodi hiyo na kukutana na uongozi wa Bodi.

2 NW E Malecela

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela (wa pili kulia)...

 

5 years ago

Michuzi

Matukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM


 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, akionesha zawadi ya fremu ya nembo ya Taifa iliyotengenezwa kwa madini alipotembelea mabanda katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020, uliofanyika JNICC Jijini Dar es Salaam, kulia ni Waziri wa Madini, Mhe. Doto Biteko na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Simon Msanjira.  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, akiangalia madini ya Tanzanite katika moja ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Naibu Waziri Malecela aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Cosmas Mwaisobwa (kulia) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majuku ya Bodi kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela leo (Jumatano, Aprili 22, 2015) jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri alifanya ziara ya kikazi katika Bodi hiyo na kukutana na uongozi wa BodiNaibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela (wa pili kulia)...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI NYONGO AONGOZA KIKAO CHA MARIDHIANO NA KUPOKEA OMBI LA MWEKEZAJI


NAIBU Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Nzega ili kusikiliza maombi na kutatua changamoto za wachimbaji wadogo wa madini Aprili 27 mwaka huu

NAIBU Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo kulia akihoji jambo kwa wachimbaji waliokuwa wakilalamika kutopewa leseni kwenye eneo ambalo waliliomba jambo ambalo RMO alipaswa kukaa na pande hizo kutafuta muafaka
NAIBU Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo akizungumza na waandishi...

 

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Nyongo autaka uongozi wa Stamigold kushirikiana na wafanyakazi kuzalisha kwa ufanisi



Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akionesha eneo alipokuwa akipewa maelekezo ya namna kazi za uchimbaji zinavyofanyika katika mgodi wa Stamigold uliopo wilayani Biharamulo mkoani Kagera alipofanya ziara ya kikazi mgodini hapo. (Picha na Wizara ya Madini).

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akitoa maelekezo kwa viongozi na watumishi wa mgodi wa Stamigold mara baada ya kupokea taarifa za kiutendaji na kukagua mgodi huo. (Picha na Wizara ya Madini).
Meneja wa uchimbaji, Mhandisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani