UKUSANYAJI MAPATO SEKTA YA MADINI WAMKOSHA WAZIRI DOTTO BITEKO, AIMWAGIA SIFA GGML KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KATIKA MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0_6y3hRu70/XttCOT1sxII/AAAAAAALsyo/NhjW2NeRVqcM23CXaMZwoopVzfeVbQz9wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais anayeshughulikia Maendeleo Endelevu katika Kampuni ya GGML, Simon Shayo akizungumza katika ziara ya Waziri wa Madini, Dotto Biteko aliyetembelea miradi ya kampuni hiyo inayotekelezwa chini ya mpango wa kusaidia jamii (CSR) mkoani Geita.
Waziri wa Madini Dotto Biteko akitoa pongezi za serikali kwa GGML baada ya kutembelea miradi hiyo. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga wakati kushoto ni baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XVz7lZZ6giM/Xkv7O1KrhqI/AAAAAAALeA4/BT2rSbfkYSoy4NK6IG6lJdqxkP3bwvBOwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200218-WA0041.jpg)
BASHUNGWA AIMWAGIA SIFA KIBAHA MJI KWA UWEKEZAJI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa mamlaka na taasisi zinazohusika na Viwanda likiwemo Shirika la Viwanda Vidogo nchini SIDO, DIT NA NEMC kuwa karibu na wawekezaji kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu na mazingira.
Aliyasema hayo ,wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja katika Halmashauri ya Mji Kibaha ,mkoani Pwani, ambapo pia ameridhishwa kwa namna mji huo unavyotekeleza sera ya uwekezaji wa viwanda kwa vitendo .
![](https://1.bp.blogspot.com/-XVz7lZZ6giM/Xkv7O1KrhqI/AAAAAAALeA4/BT2rSbfkYSoy4NK6IG6lJdqxkP3bwvBOwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200218-WA0041.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C-ee12u9090/Xmps7MiN3EI/AAAAAAAC8Uc/6WQLAgT3Q88vQ9gah2wHP2FJcd79Hm3wACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Sekta ya Madini kuzalisha mamilionea – Waziri Biteko
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Tume ya Madini inaendelea kuhakikisha inawawezesha wachimbaji na wafanyabiashara wa madini ili waweze kuwa mamilionea huku Serikali ikipata mapato yake kutokana na kodi mbalimbali na kuinua Sekta ya Madini.
Waziri Biteko aliyasema hayo leo tarehe 12 Machi, 2020 kwenye ziara ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofanyika katika machimbo ya mawe ya nakshi Ntyuka, Soko...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--0KVHI92Ies/XtyVFs-oeJI/AAAAAAAC6_E/Rs9_SxrCEKwiM9eD2XRALc2EwBKxjpg6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BITEKO ATAKA MCHANGO SEKTA YA MADINI KUTAZAMWA
![](https://1.bp.blogspot.com/--0KVHI92Ies/XtyVFs-oeJI/AAAAAAAC6_E/Rs9_SxrCEKwiM9eD2XRALc2EwBKxjpg6gCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
“Niliwaambia wenzangu wizarani, lazima tuhame sasa kwenye mfumo wa kufurahia kuona mapato yameongezeka kutokana na ukusanyaji wa maduhuli twende kwenye mfumo wa kujiuliza je? Sekta ya madini imechangiaje ukuaji wa sekta...
5 years ago
MichuziMatukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia
![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdQV_aYMEUY/VAiRmIXd6TI/AAAAAAAGeF4/vD-JuEJ3YQk/s1600/unnamed%2B(92).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dBDvX5cjTVI/VAiRmWm0ELI/AAAAAAAGeF8/wZjBs1Dhj8s/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-42e_aN3Qifs/XtyyUbTYPtI/AAAAAAALs54/E9BWgPmm8ywkXvDtle8ynlc_KY-v_a7BQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.jpg)
Biteko ataka mchango sekta ya madini kutazamwa vinginevyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-42e_aN3Qifs/XtyyUbTYPtI/AAAAAAALs54/E9BWgPmm8ywkXvDtle8ynlc_KY-v_a7BQCLcBGAsYHQ/s640/A.jpg)
Jengo jipya litakalotumiwa na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita ambalo lilijengwa kwa fedha za huduma kwa jamii (CSR) zilizotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) na kusimamiwa kwa ushirikiano baina ya mgodi huo na Halimashauri ya Mji wa Geita. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Bitek.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZQGDf6D_1k/XlFy2hjg5LI/AAAAAAALe2I/p1tuxuKBuXQWB74lEafaNnKKCp8hfPMpwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-49-2048x1365.jpg)
Matukio katika picha: Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZQGDf6D_1k/XlFy2hjg5LI/AAAAAAALe2I/p1tuxuKBuXQWB74lEafaNnKKCp8hfPMpwCLcBGAsYHQ/s640/1-49-2048x1365.jpg)
Waziri wa Madini, Mhe. Doto Biteko akizungumza na washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020, unaoendelea katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam,alipowasili kufungua Mkutano huo ambapo Tanzania inatarajia kuzindua cheti cha uhalisia ili kuwezesha usafirishaji wa Madini ya Bati.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-42-scaled.jpg)