Sekta ya Madini kuzalisha mamilionea – Waziri Biteko
![](https://1.bp.blogspot.com/-C-ee12u9090/Xmps7MiN3EI/AAAAAAAC8Uc/6WQLAgT3Q88vQ9gah2wHP2FJcd79Hm3wACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na Greyson Mwase, Dodoma
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Tume ya Madini inaendelea kuhakikisha inawawezesha wachimbaji na wafanyabiashara wa madini ili waweze kuwa mamilionea huku Serikali ikipata mapato yake kutokana na kodi mbalimbali na kuinua Sekta ya Madini.
Waziri Biteko aliyasema hayo leo tarehe 12 Machi, 2020 kwenye ziara ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofanyika katika machimbo ya mawe ya nakshi Ntyuka, Soko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--0KVHI92Ies/XtyVFs-oeJI/AAAAAAAC6_E/Rs9_SxrCEKwiM9eD2XRALc2EwBKxjpg6gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BITEKO ATAKA MCHANGO SEKTA YA MADINI KUTAZAMWA
![](https://1.bp.blogspot.com/--0KVHI92Ies/XtyVFs-oeJI/AAAAAAAC6_E/Rs9_SxrCEKwiM9eD2XRALc2EwBKxjpg6gCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
“Niliwaambia wenzangu wizarani, lazima tuhame sasa kwenye mfumo wa kufurahia kuona mapato yameongezeka kutokana na ukusanyaji wa maduhuli twende kwenye mfumo wa kujiuliza je? Sekta ya madini imechangiaje ukuaji wa sekta...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0_6y3hRu70/XttCOT1sxII/AAAAAAALsyo/NhjW2NeRVqcM23CXaMZwoopVzfeVbQz9wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UKUSANYAJI MAPATO SEKTA YA MADINI WAMKOSHA WAZIRI DOTTO BITEKO, AIMWAGIA SIFA GGML KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KATIKA MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0_6y3hRu70/XttCOT1sxII/AAAAAAALsyo/NhjW2NeRVqcM23CXaMZwoopVzfeVbQz9wCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pI4hb0lzwYQ/XttCOnY43vI/AAAAAAALsyw/TkP_EXxScisbuj5DfZdqsTIdfMbIVnbUgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-42e_aN3Qifs/XtyyUbTYPtI/AAAAAAALs54/E9BWgPmm8ywkXvDtle8ynlc_KY-v_a7BQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.jpg)
Biteko ataka mchango sekta ya madini kutazamwa vinginevyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-42e_aN3Qifs/XtyyUbTYPtI/AAAAAAALs54/E9BWgPmm8ywkXvDtle8ynlc_KY-v_a7BQCLcBGAsYHQ/s640/A.jpg)
Jengo jipya litakalotumiwa na wafanyabiashara wa madini mkoani Geita ambalo lilijengwa kwa fedha za huduma kwa jamii (CSR) zilizotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) na kusimamiwa kwa ushirikiano baina ya mgodi huo na Halimashauri ya Mji wa Geita. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Bitek.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gTluFN2a4mg/XlLcbpRwB2I/AAAAAAALe8Y/-raTNItJdVU6J1qBiEv-MndVydSZuSxhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0667AA-1024x656.jpg)
MCHANGO WA SEKTA YA MADINI UMEZIDI KUIMARIKA NCHINI, SERIKALI TUNAFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA SEKTA HIYO- WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema mchango wa sekta ya madini umezidi kuimarika hapa nchini na kwamba Serikali kwa upande wake imeridhishwa na utendaji kazi wa sekta hiyo kupitia Wizara ya Madini.
Ameyasema hayo leo Februari 23,2020 wakati akizungumza na wawekezaji katika sekta ya madini hapa nchini mkutano uliofanyika katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere(JNICC), jinini Dar es Salaam leo.
Amefafanua kuwa sekta ya madini hapa nchini...
5 years ago
CCM BlogNAIBU WAZIRI NYONGO AUTAKA UONGOZI WA STAMIGOLD KUSHIRIKIANA NA WAFANYAKAZI KUZALISHA MADINI KWA UFANISI
Na Nuru Mwasampeta, WM
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameutaka uongozi wa Mgodi wa Stamigold kuwajali wafanyakazi na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuongeza uzalishaji katika mgodi huo. Amesema ,uongozi wa wizara utafika mgodini hapo mara kwa mara kusikiliza na kutatua changamoto zao ili kuongeza uzalishaji.
Amewataka viongozi hao kufanya kazi na wasambazaji na wataalamu wa nje wenye uadilifu na ufanisi mkubwa ili kusaidia katika kuongeza uzalishaji mgodini hapo. “Msione shida...
9 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KWENYE KITUO CHA KUZALISHA UMEME KWA NGUVU YA MAJI, MTERA
Akielezea hali halisi aliyoiona kituoni hapo, Profesa Muhongo alisema kwa wakati huu kituo hicho cha Mtera hakizalishi umeme wa kiasi chochote huku akitaja sababu kuwa ni upungufu wa maji uliosababishwa na matumizi mabaya ya maji ya Bwawa hilo.
Profesa Muhongo alisema njia bora ya utatuzi wa upungufu wa maji kwenye bwawa hilo...
10 years ago
Habarileo28 Apr
Waziri awaonya wadau wa sekta ya madini
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amewaonya wadau wa sekta ya madini kwa kuwataka kupeleka ofisini kwake changamoto za jumla zinazoikabili sekta hiyo na sio changamoto binafsi.