BASHUNGWA AIMWAGIA SIFA KIBAHA MJI KWA UWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XVz7lZZ6giM/Xkv7O1KrhqI/AAAAAAALeA4/BT2rSbfkYSoy4NK6IG6lJdqxkP3bwvBOwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200218-WA0041.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa mamlaka na taasisi zinazohusika na Viwanda likiwemo Shirika la Viwanda Vidogo nchini SIDO, DIT NA NEMC kuwa karibu na wawekezaji kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu na mazingira.
Aliyasema hayo ,wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja katika Halmashauri ya Mji Kibaha ,mkoani Pwani, ambapo pia ameridhishwa kwa namna mji huo unavyotekeleza sera ya uwekezaji wa viwanda kwa vitendo . Bashungwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0_6y3hRu70/XttCOT1sxII/AAAAAAALsyo/NhjW2NeRVqcM23CXaMZwoopVzfeVbQz9wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UKUSANYAJI MAPATO SEKTA YA MADINI WAMKOSHA WAZIRI DOTTO BITEKO, AIMWAGIA SIFA GGML KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KATIKA MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0_6y3hRu70/XttCOT1sxII/AAAAAAALsyo/NhjW2NeRVqcM23CXaMZwoopVzfeVbQz9wCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pI4hb0lzwYQ/XttCOnY43vI/AAAAAAALsyw/TkP_EXxScisbuj5DfZdqsTIdfMbIVnbUgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Wanyama aimwagia sifa Southampton
LONDON, ENGLAND
KIUNGO wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Southampton ya nchini England, Victor Wanyama, ameimwagia sifa klabu yake ya Southampton kwa ushirikiano ambao waliuonesha kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Arsenal ambapo Southampton iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mtandao wa Supersport umeripoti kwamba, Wanyama amekuwa na furaha kubwa baada ya kuisaidia timu yake Southampton kuweza kuibuka na ushindi katika Sikukuu ya ‘Boxing Day’ kwa kuichapa...
10 years ago
Habarileo17 Jun
Cheyo aimwagia sifa bajeti
WAKATI baadhi ya wabunge wakisema hatua ya serikali kutaka kuongeza kodi kwenye mafuta itapanda gharama za maisha na kuongeza ugumu wa maisha kwa Watanzania, Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo (UDP) ameimwagia sifa bajeti na kusema wakati umefika wa kuondokana na serikali ya vibatari na koroboi.
9 years ago
Habarileo29 Oct
Haji Mwinyi aimwagia sifa Ligi Kuu
BEKI wa kushoto wa Yanga, Haji Mwinyi, amesema Ligi Kuu ya Tanzania Bara imezidi kupandisha kiwango chake kutokana na ushindani mkubwa uliopo tofauti na ile ya Zanzibar.
11 years ago
Michuzi21 May
Mb Dog aimwagia sifa video yake ya ‘Mbona Umenuna’
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/6UZRdYT38FnVyYabE4Q5jI8tRRUjwsDiuw6uuCDzqMFrfOx_YXhOpJRl8jX9oi8JP_kkxTBXd6oVDkV3iCT0h7bRsD9yNguODN1xHugy623FPB91hdPeXzPYAjvLTdcXxD77_2SLsZaz-F_s5LJFBbT32eIdFKHWiJytcPOqBVz6dgBwk9FoZbEhamEeYKtV3GA-fqOrzLlw-hiAlsoMuv0qsbqwFsGyfyATH6vTrsKta0Fle2mrDLFkBqjunPQFkbHwJbtPc5DGFWN1R9GNkFNCn9nwoWMefqUI7f2eT-excjWZ08Zo3K_dGTigKJUdOhHne4kyPoY6A8dd7TNg3UunZswANw32kQ=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-uuPZGZCWv5M%2FU3xZSwIhgZI%2FAAAAAAAAH5k%2FKZP2jrCsWOg%2Fs1600%2FMB%2BDOG%2BMsanii.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dT3A-flI_OY/VhkWv7FSZII/AAAAAAAAa7I/YEAdQmbi3mo/s72-c/JK_Speech2.jpg)
JK AUMWAGIA SIFA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA UWEKEZAJI BORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dT3A-flI_OY/VhkWv7FSZII/AAAAAAAAa7I/YEAdQmbi3mo/s640/JK_Speech2.jpg)
RAIS Jakaya Kikwete, akitoa hotuba kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi la kitegauchumi PPF Plaza eneo la Vigaeni, mjini Mtwara, Oktoba 10, 2015. Jengo hilo la ghorofa mali ya PPF litagharimu shilingi Bilioni 9.5 ujenzi wake utakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu. NA K-VIS MEDIA, MTWARA RAIS Jakaya Kikwete ameumwagia sifa kemkem Mfuko wa Pensehni wa PPF, kwa uwekezaji bora, wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jingo la ghrorofatano la kitegauchumi la PPF Plaza mjini Mtwara Oktoba...
11 years ago
Michuzi03 Feb
Mkutano wa M4C Operesheni Pamoja Daima,Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua Kibaha na Chopa Nakuhutubia Mamia ya Wananchi wa Mji wa Kibaha
![](https://2.bp.blogspot.com/-UgXJcsGVZ1Q/Uu-5Cpc7jKI/AAAAAAACoOo/LKT-bkV7Oro/s1600/Mbowe+kuhutubia+Kibaha.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnyOd2laooo/Uu-5CPTSPdI/AAAAAAACoOg/bII30qq6ma0/s1600/Kukabidhi+kadi+2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wjbtdxVX4bg/XsVvcdsDh7I/AAAAAAALrA0/Yw09tRyYGzgcR41GYjSGSgsob8sXKZR2ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0036.jpg)
DC MSHAMA ATOA MAAGIZO MAZITO KWA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA
MKUU wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ,amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha na timu yake kufunga hoja 18 zilizokuwa hazijafungwa kwa mwaka 2017/2018 na kufanyia kazi maelekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG ),ndani ya wiki moja.
Aidha ametoa maagizo mengine makubwa manne kwa halmashauri hiyo ikiwemo kuepuka kuingia mikataba mibovu inayosababisha hasara baadae na kudhibiti vyanzo vya ndani vya mapato.
Akizungumza katika...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Uwekezaji ulivyoua Mji wa Mirerani-2