Cheyo aimwagia sifa bajeti
WAKATI baadhi ya wabunge wakisema hatua ya serikali kutaka kuongeza kodi kwenye mafuta itapanda gharama za maisha na kuongeza ugumu wa maisha kwa Watanzania, Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo (UDP) ameimwagia sifa bajeti na kusema wakati umefika wa kuondokana na serikali ya vibatari na koroboi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Wanyama aimwagia sifa Southampton
LONDON, ENGLAND
KIUNGO wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Southampton ya nchini England, Victor Wanyama, ameimwagia sifa klabu yake ya Southampton kwa ushirikiano ambao waliuonesha kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Arsenal ambapo Southampton iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mtandao wa Supersport umeripoti kwamba, Wanyama amekuwa na furaha kubwa baada ya kuisaidia timu yake Southampton kuweza kuibuka na ushindi katika Sikukuu ya ‘Boxing Day’ kwa kuichapa...
9 years ago
Habarileo29 Oct
Haji Mwinyi aimwagia sifa Ligi Kuu
BEKI wa kushoto wa Yanga, Haji Mwinyi, amesema Ligi Kuu ya Tanzania Bara imezidi kupandisha kiwango chake kutokana na ushindani mkubwa uliopo tofauti na ile ya Zanzibar.
11 years ago
Michuzi21 May
Mb Dog aimwagia sifa video yake ya ‘Mbona Umenuna’
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/6UZRdYT38FnVyYabE4Q5jI8tRRUjwsDiuw6uuCDzqMFrfOx_YXhOpJRl8jX9oi8JP_kkxTBXd6oVDkV3iCT0h7bRsD9yNguODN1xHugy623FPB91hdPeXzPYAjvLTdcXxD77_2SLsZaz-F_s5LJFBbT32eIdFKHWiJytcPOqBVz6dgBwk9FoZbEhamEeYKtV3GA-fqOrzLlw-hiAlsoMuv0qsbqwFsGyfyATH6vTrsKta0Fle2mrDLFkBqjunPQFkbHwJbtPc5DGFWN1R9GNkFNCn9nwoWMefqUI7f2eT-excjWZ08Zo3K_dGTigKJUdOhHne4kyPoY6A8dd7TNg3UunZswANw32kQ=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-uuPZGZCWv5M%2FU3xZSwIhgZI%2FAAAAAAAAH5k%2FKZP2jrCsWOg%2Fs1600%2FMB%2BDOG%2BMsanii.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XVz7lZZ6giM/Xkv7O1KrhqI/AAAAAAALeA4/BT2rSbfkYSoy4NK6IG6lJdqxkP3bwvBOwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200218-WA0041.jpg)
BASHUNGWA AIMWAGIA SIFA KIBAHA MJI KWA UWEKEZAJI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa mamlaka na taasisi zinazohusika na Viwanda likiwemo Shirika la Viwanda Vidogo nchini SIDO, DIT NA NEMC kuwa karibu na wawekezaji kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu na mazingira.
Aliyasema hayo ,wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja katika Halmashauri ya Mji Kibaha ,mkoani Pwani, ambapo pia ameridhishwa kwa namna mji huo unavyotekeleza sera ya uwekezaji wa viwanda kwa vitendo .
![](https://1.bp.blogspot.com/-XVz7lZZ6giM/Xkv7O1KrhqI/AAAAAAALeA4/BT2rSbfkYSoy4NK6IG6lJdqxkP3bwvBOwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200218-WA0041.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0_6y3hRu70/XttCOT1sxII/AAAAAAALsyo/NhjW2NeRVqcM23CXaMZwoopVzfeVbQz9wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UKUSANYAJI MAPATO SEKTA YA MADINI WAMKOSHA WAZIRI DOTTO BITEKO, AIMWAGIA SIFA GGML KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KATIKA MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-x0_6y3hRu70/XttCOT1sxII/AAAAAAALsyo/NhjW2NeRVqcM23CXaMZwoopVzfeVbQz9wCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pI4hb0lzwYQ/XttCOnY43vI/AAAAAAALsyw/TkP_EXxScisbuj5DfZdqsTIdfMbIVnbUgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
10 years ago
Mwananchi02 Jun
UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo