Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cheyo aimwagia sifa bajeti

Mbunge wa Bariadi Mashariki, John CheyoWAKATI baadhi ya wabunge wakisema hatua ya serikali kutaka kuongeza kodi kwenye mafuta itapanda gharama za maisha na kuongeza ugumu wa maisha kwa Watanzania, Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo (UDP) ameimwagia sifa bajeti na kusema wakati umefika wa kuondokana na serikali ya vibatari na koroboi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Wanyama aimwagia sifa Southampton

Celtic v Barcelona - UEFA Champions LeagueLONDON, ENGLAND

KIUNGO wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Southampton ya nchini England, Victor Wanyama, ameimwagia sifa klabu yake ya Southampton kwa ushirikiano ambao waliuonesha kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Arsenal ambapo Southampton iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 mwishoni mwa wiki iliyopita.

Mtandao wa Supersport umeripoti kwamba, Wanyama amekuwa na furaha kubwa baada ya kuisaidia timu yake Southampton kuweza kuibuka na ushindi katika Sikukuu ya ‘Boxing Day’ kwa kuichapa...

 

9 years ago

Habarileo

Haji Mwinyi aimwagia sifa Ligi Kuu

BEKI wa kushoto wa Yanga, Haji Mwinyi, amesema Ligi Kuu ya Tanzania Bara imezidi kupandisha kiwango chake kutokana na ushindani mkubwa uliopo tofauti na ile ya Zanzibar.

 

11 years ago

Michuzi

Mb Dog aimwagia sifa video yake ya ‘Mbona Umenuna’

Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam MKALI wa muziki wa kizazi kipya, Mbwana Mohamed Mb Dog, amesifia video ya wimbo wake mpya ya Mbona Umenuna akisema imeandaliwa kwa kiwango cha juu na kudhihirisha ubora wake. Mb Dog  Akizungumza leo asubuhi jijini Dar es Salaam, Mb Dog alisema mashabiki wote watakaopata bahati ya kuitazama video hiyo iliyotengenezwa na Abby Kazi, ataamini makali yake. Alisema lengo lake ni kuwapatia mashabiki burudani kamili, hivyo wadau wote wapate muda wa kuitazama video...

 

5 years ago

Michuzi

BASHUNGWA AIMWAGIA SIFA KIBAHA MJI KWA UWEKEZAJI

 NA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa mamlaka na taasisi zinazohusika na Viwanda likiwemo Shirika la Viwanda Vidogo nchini SIDO, DIT NA NEMC kuwa karibu na wawekezaji kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu na mazingira.

Aliyasema hayo ,wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja katika Halmashauri ya Mji Kibaha ,mkoani Pwani, ambapo pia ameridhishwa kwa namna mji huo unavyotekeleza sera ya uwekezaji wa viwanda kwa vitendo . Bashungwa...

 

5 years ago

Michuzi

UKUSANYAJI MAPATO SEKTA YA MADINI WAMKOSHA WAZIRI DOTTO BITEKO, AIMWAGIA SIFA GGML KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KATIKA MKOA WA GEITA

 Makamu wa Rais anayeshughulikia Maendeleo Endelevu katika Kampuni ya GGML, Simon Shayo akizungumza katika ziara ya Waziri wa Madini, Dotto Biteko aliyetembelea miradi ya kampuni hiyo inayotekelezwa chini ya mpango wa kusaidia jamii (CSR) mkoani Geita. Waziri wa Madini Dotto Biteko akitoa pongezi za serikali kwa GGML baada ya kutembelea miradi hiyo. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel  na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga wakati kushoto ni baadhi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo

>Miundombinu ya usafirishaji ni muhimu kwa maendeleo ya uchumi wa nchi yoyote. Miundombinu hii ni pamoja na barabara, madaraja, viwanja vya ndege, reli, bandari na nyinginezo. Kiuchumi, hii ni miundombinu migumu (hard infrastructure) ukilinganisha na miundombinu kama ya mawasiliano ikiwamo simu na intaneti ambayo ni miundombinu laini (soft infrastructure) ya kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani