Haji Mwinyi aimwagia sifa Ligi Kuu
BEKI wa kushoto wa Yanga, Haji Mwinyi, amesema Ligi Kuu ya Tanzania Bara imezidi kupandisha kiwango chake kutokana na ushindani mkubwa uliopo tofauti na ile ya Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Wanyama aimwagia sifa Southampton
LONDON, ENGLAND
KIUNGO wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Southampton ya nchini England, Victor Wanyama, ameimwagia sifa klabu yake ya Southampton kwa ushirikiano ambao waliuonesha kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Arsenal ambapo Southampton iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mtandao wa Supersport umeripoti kwamba, Wanyama amekuwa na furaha kubwa baada ya kuisaidia timu yake Southampton kuweza kuibuka na ushindi katika Sikukuu ya ‘Boxing Day’ kwa kuichapa...
10 years ago
Habarileo17 Jun
Cheyo aimwagia sifa bajeti
WAKATI baadhi ya wabunge wakisema hatua ya serikali kutaka kuongeza kodi kwenye mafuta itapanda gharama za maisha na kuongeza ugumu wa maisha kwa Watanzania, Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo (UDP) ameimwagia sifa bajeti na kusema wakati umefika wa kuondokana na serikali ya vibatari na koroboi.
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Sifa, Kagera Rangers, Bomu FC zimeibua nyota wengi Ligi Kuu
11 years ago
Michuzi21 May
Mb Dog aimwagia sifa video yake ya ‘Mbona Umenuna’
5 years ago
MichuziBASHUNGWA AIMWAGIA SIFA KIBAHA MJI KWA UWEKEZAJI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa mamlaka na taasisi zinazohusika na Viwanda likiwemo Shirika la Viwanda Vidogo nchini SIDO, DIT NA NEMC kuwa karibu na wawekezaji kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu na mazingira.
Aliyasema hayo ,wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja katika Halmashauri ya Mji Kibaha ,mkoani Pwani, ambapo pia ameridhishwa kwa namna mji huo unavyotekeleza sera ya uwekezaji wa viwanda kwa vitendo . Bashungwa...
5 years ago
MichuziUKUSANYAJI MAPATO SEKTA YA MADINI WAMKOSHA WAZIRI DOTTO BITEKO, AIMWAGIA SIFA GGML KWA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI KATIKA MKOA WA GEITA
9 years ago
MichuziWADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
MichuziBARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAVUNJWA, RAIS MWINYI ALIMWAGIA SIFA
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...