BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAVUNJWA, RAIS MWINYI ALIMWAGIA SIFA
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na madiwani na watendaji wa Manispaa hiyo wakati wa kikao maalum cha kuahirisha Baraza hilo kilichofanyika jana Dar es Salaam. Wengine ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge na Mkurugenzi wa Manipss hiyo, Eng. Mussa Nati (kulia).
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimtambulisha Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Madiwani wa Manispaa hiyo baada ya kuwasili kwenye ofisi za Manispaa hiyo kuhudhuria hafla maalum...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA ILALA LAVUNJWA
10 years ago
VijimamboBARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA IRINGA LAVUNJWA RASMI
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia Idara ya Fedha na Biashara imekusanya jumla ya 5,357,849,597/- kati ya hizo 1,010,046,997/- in mapato ya ndani katika kipindi cha kuanzia mwezi Aprili hadi Julai 2014/2015.
Akisoma taarifa...
10 years ago
MichuziBARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMI
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Hatimaye Baraza la Madiwani la halmashauri ya manispaa ya Kinondoni laahirishwa rasmi
Rais Mstaafu wa awamu ya pili , Alhaji Ally Hassan Mwinyi, akiwasili kwenye hafla ya kuvunja baraza la madiwani la Manispaa ya Kinondoni. Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni , Yusuph Mwenda.
Na Mwandishi wetu
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeliahirisha rasmi Baraza la Madiwani ambapo mgeni rasmi katika kuahirisha Baraza hilo alikuwa mheshimiwa Rais mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi.
Shughuli hizo zilianza kwa kikao cha baraza cha kawaida cha kupokea...
10 years ago
VijimamboHATIMAE BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMI
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaj Alli Hassan Mwinyi, akikagua maonyesho ya kazi zinazofanywa na manispaa ya Kinondoni.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-o7pNML0L1F8/VncxHso05NI/AAAAAAAAXgU/H6pfUP8HFV8/s72-c/blogger-image--1935010144.jpg)
OMBI LA WABUNGE NA MADIWANI WA UKAWA MANISPAA YA KINONDONI KUIOMBA IKULU (OFISI YA RAIS) IUNDE TUME HURU
9 years ago
Habarileo29 Oct
Haji Mwinyi aimwagia sifa Ligi Kuu
BEKI wa kushoto wa Yanga, Haji Mwinyi, amesema Ligi Kuu ya Tanzania Bara imezidi kupandisha kiwango chake kutokana na ushindani mkubwa uliopo tofauti na ile ya Zanzibar.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kinondoni inaongoza kwa ufuska-Madiwani
NA RACHEL KYALA
KIKAO cha Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Kinondoni jana kilitikiswa vikali baada ya kuzuka kwa malalamiko ya kuwepo kwa vitendo vya ufuska vilivyoshamiri katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam.
Idadi kubwa ya madiwani hao wameelezea kushuhudia na kusikitishwa na vitendo hivyo, hususan vya ngono na kuiomba serikali kutofumbia macho suala hilo walilosema linafaa kuitwa janga la kitaifa.
Madiwani hao waliyataja maeneo mbalimbali katika manispaa yao, ambayo yamekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SwZLqD0fhF8/XmAKzc6407I/AAAAAAALhEY/rKdsCSFtRVs43q4IL54zKUTdHAjtCRuxACLcBGAsYHQ/s72-c/dfb3e367-257e-4787-bcc5-27243333bc12.jpg)
MADIWANI HALMASHAURI YA KINONDONI WAIPONGEZA TARURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SwZLqD0fhF8/XmAKzc6407I/AAAAAAALhEY/rKdsCSFtRVs43q4IL54zKUTdHAjtCRuxACLcBGAsYHQ/s640/dfb3e367-257e-4787-bcc5-27243333bc12.jpg)
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni katikati Mhe. Benjamini Sitta akiwa na Naibu Meya George Manyama na Kaimu Mkurugenzi Dk. Patricia Henjewele wakiwa katka kikao cha robo ya pili cha baraza la madiwani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/383e09be-d381-422c-b359-9cd04be7dbd0.jpg)