Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinondoni inaongoza kwa ufuska-Madiwani


NA RACHEL KYALA
KIKAO cha Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Kinondoni jana kilitikiswa vikali baada ya kuzuka kwa malalamiko ya kuwepo kwa vitendo vya ufuska vilivyoshamiri katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam.
Idadi kubwa ya madiwani hao wameelezea kushuhudia na kusikitishwa na vitendo hivyo, hususan vya ngono na kuiomba serikali kutofumbia macho suala hilo walilosema linafaa kuitwa janga la kitaifa.
Madiwani hao waliyataja maeneo mbalimbali katika manispaa yao, ambayo yamekuwa...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MADIWANI KINONDONI WAMPONGEZA MEYA SITTA, MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA KUFANYA VIZURI KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni limewapongeza Mhe. Mstahiki Meya Benjamini Sitta pamoja na Mkurugenzi Bwana Aron Kagurumjuli kwa kutekeleza miradi mikubwa katika kipindi cha miaka mitano ya utendaji wao wa kazi.

Pongezi hizo zimetolewa na Madiwani hao wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka ambapo wamesema kuwa katika kipindi ambacho wamekuwa madiwani wameshuhudia miradi mikubwa ambayo imetekelezwa ikiwa ni juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi...

 

10 years ago

GPL

MADIWANI MANISPAA YA KINONDONI WAFANYA KIKAO

Naibu Meya, Songoro Mnyonge (kushoto), Mstahiki Meya wa manspaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (katikati) na Injinia Musa Natty. Diwani kata ya Kunduchi, Janeth Rite, akisisitiza jambo.…

 

5 years ago

Michuzi

MADIWANI HALMASHAURI YA KINONDONI WAIPONGEZA TARURA





Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni katikati Mhe. Benjamini Sitta akiwa na Naibu Meya George Manyama na Kaimu Mkurugenzi  Dk. Patricia Henjewele wakiwa katka kikao cha robo ya pili cha baraza la madiwani.Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Mhe. Maulid Mtulia akizungumza wakati wa kikao cha robo ya pili cha Baraza la Madiwani...

 

9 years ago

Mwananchi

Madiwani wanne Chadema wajitokeza umeya Kinondoni

Madiwani wanne wa Chadema Manispaa ya Kinondoni wamejitokeza kuwania umeya.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMI

HATIMAE BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMIPosted: 08 Jul 2015 11:54 AM PDTRais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaj Alli Hassan Mwinyi, akikagua maonyesho ya kazi zinazofanywa na manispaa ya Kinondoni.Mstahiki Meya wa Manispaa ya kinondoni , Yusuph Mwenda akimkabidhi jezi ya timu ya soka ya Kinondoni Municipal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ally Hassan Mwinyi kama ishara ya kuwa mlezi wa timu hiyoRais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Alli Hassan...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hatimaye Baraza la Madiwani la halmashauri ya manispaa ya Kinondoni laahirishwa rasmi

DSC_4054

Rais Mstaafu wa awamu ya pili , Alhaji Ally Hassan Mwinyi, akiwasili kwenye hafla ya kuvunja baraza la madiwani la Manispaa ya Kinondoni. Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni , Yusuph Mwenda.

Na Mwandishi wetu

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeliahirisha rasmi Baraza la Madiwani ambapo mgeni rasmi katika kuahirisha Baraza hilo alikuwa mheshimiwa Rais mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi.

Shughuli hizo zilianza kwa kikao cha baraza cha kawaida cha kupokea...

 

10 years ago

Vijimambo

HATIMAE BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMI


Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaj Alli Hassan Mwinyi, akikagua maonyesho ya kazi zinazofanywa na manispaa ya Kinondoni.Mstahiki Meya wa Manispaa ya kinondoni , Yusuph Mwenda akimkabidhi jezi ya timu ya soka ya Kinondoni Municipal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ally Hassan Mwinyi kama ishara ya kuwa mlezi wa timu hiyoRais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Alli Hassan Mwinyi akimkabidhi cheti na na nishani ya utumishi uliotukuka Mstahiki Meya wa Manispaa ya kinondoni, Yusuph Mwenda...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAVUNJWA, RAIS MWINYI ALIMWAGIA SIFA

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na madiwani na watendaji wa Manispaa hiyo wakati wa kikao maalum cha kuahirisha Baraza hilo kilichofanyika jana Dar es Salaam. Wengine ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge na Mkurugenzi wa Manipss hiyo, Eng. Mussa Nati (kulia).Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akimtambulisha Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Madiwani wa Manispaa hiyo baada ya kuwasili kwenye ofisi za Manispaa hiyo kuhudhuria hafla maalum...

 

10 years ago

GPL

WASANII WANASWA KWA UFUSKA

Brighton Masalu SHABAASH! ‘Makinda’ wawili wanao penyapenya katika sanaa ya maigizo runingani wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre Arts Group, Sefu Ngao ‘Stefano’ na Vanessa Msofe wamenaswa wakifanya uchafu kwa kuoneshana mahaba mazito huku wakiwa ‘bwii’, Ijumaa Wikienda linakupa ishu nzima. Wasanii hao wakiwa katika mahaba mazito baada kulewa. Tukio la uchafu huo unaotia kichefuchefu cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani