Madiwani wanne Chadema wajitokeza umeya Kinondoni
Madiwani wanne wa Chadema Manispaa ya Kinondoni wamejitokeza kuwania umeya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani watano Chadema kuwania umeya Arusha
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Umeya Kinondoni, Ilala mvurugano
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Umeya waivuruga CCM, Chadema
Na Waandishi Wetu
UCHAGUZI wa umeya katika manispaa mbalimbali umedaiwa kuanza kukivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kutokana na kuvurugwa huko, vyama hivyo vimeanza kulazimisha kutumia mbinu mbadala kuhakikisha vinashinda uchaguzi huo unaofanyika nchi nzima.
Moja ya mbinu wanazodaiwa kutumia ni kulazimisha wabunge wa viti maalumu kwenda kujisajili katika manispaa za mikoa mingine kama madiwani ili waweze kupiga kura katika uchaguzi wa...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Chadema, CCM wachuana umeya
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Chadema yapitisha mgombea umeya wa jiji la Dar
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Umeya wavipasua vichwa Chadema, ACT Wazalendo
9 years ago
Mwananchi13 Dec
CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kinondoni inaongoza kwa ufuska-Madiwani
NA RACHEL KYALA
KIKAO cha Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Kinondoni jana kilitikiswa vikali baada ya kuzuka kwa malalamiko ya kuwepo kwa vitendo vya ufuska vilivyoshamiri katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam.
Idadi kubwa ya madiwani hao wameelezea kushuhudia na kusikitishwa na vitendo hivyo, hususan vya ngono na kuiomba serikali kutofumbia macho suala hilo walilosema linafaa kuitwa janga la kitaifa.
Madiwani hao waliyataja maeneo mbalimbali katika manispaa yao, ambayo yamekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SwZLqD0fhF8/XmAKzc6407I/AAAAAAALhEY/rKdsCSFtRVs43q4IL54zKUTdHAjtCRuxACLcBGAsYHQ/s72-c/dfb3e367-257e-4787-bcc5-27243333bc12.jpg)
MADIWANI HALMASHAURI YA KINONDONI WAIPONGEZA TARURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SwZLqD0fhF8/XmAKzc6407I/AAAAAAALhEY/rKdsCSFtRVs43q4IL54zKUTdHAjtCRuxACLcBGAsYHQ/s640/dfb3e367-257e-4787-bcc5-27243333bc12.jpg)
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni katikati Mhe. Benjamini Sitta akiwa na Naibu Meya George Manyama na Kaimu Mkurugenzi Dk. Patricia Henjewele wakiwa katka kikao cha robo ya pili cha baraza la madiwani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/383e09be-d381-422c-b359-9cd04be7dbd0.jpg)