Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani wanne Chadema wajitokeza umeya Kinondoni

Madiwani wanne wa Chadema Manispaa ya Kinondoni wamejitokeza kuwania umeya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Madiwani watano Chadema kuwania umeya Arusha

Madiwani watano wa Chadema katika Jiji la Arusha, wameanza harakati za kuteuliwa kushika nafasi ya meya, baada ya chama hicho kushinda viti 24 vya udiwani kati ya 25 vilivyopo.

 

9 years ago

Mwananchi

Umeya Kinondoni, Ilala mvurugano

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeng’amua mbinu za CCM kutaka kuwatumia mawaziri walioteuliwa na Rais kuwa wabunge, kushiriki vikao vya madiwani vitakavyochagua mameya wa Manispaa za Kinondoni na Ilala ili kushinda viti hivyo.

 

9 years ago

Mtanzania

Umeya waivuruga CCM, Chadema

DSC_0373-FILEminimizerNa Waandishi Wetu

UCHAGUZI wa umeya katika manispaa mbalimbali umedaiwa kuanza kukivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Kutokana na kuvurugwa huko, vyama hivyo vimeanza kulazimisha kutumia mbinu mbadala kuhakikisha vinashinda uchaguzi huo unaofanyika nchi nzima.

Moja ya mbinu wanazodaiwa kutumia ni kulazimisha wabunge wa viti maalumu kwenda kujisajili katika manispaa za mikoa mingine kama madiwani ili waweze kupiga kura katika uchaguzi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema, CCM wachuana umeya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na CCM vimechuana katika uchaguzi wa umeya na uenyekiti wa halmashauri za wilaya katika mikoa mbalimbali nchini.     

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yapitisha mgombea umeya wa jiji la Dar

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetaja majina ya madiwani wake watatu watakaowania umeya wa manispaa za Ilala, Konondoni na Jiji la Dar es Salaam, huku kikijihakikishia ushindi kutokana na kuwa na idadi kubwa ya madiwani katika manispaa hizo, kuliko wa CCM.

 

9 years ago

Mwananchi

Umeya wavipasua vichwa Chadema, ACT Wazalendo

Uchaguzi wa umeya katika mji wa Moshi, Kigoma Ujiji na Jiji la Arusha unaonekana kuwa kaa la moto katika vyama vya upinzani ambavyo ndivyo vinaongoza katika miji hiyo miwili. 

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti

Vyama vya CCM na Chadema vinaendelea kukabana koo maeneo mbalimbali katika kuwania nafasi ya umeya na uenyekiti wa halmashauri.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kinondoni inaongoza kwa ufuska-Madiwani


NA RACHEL KYALA
KIKAO cha Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Kinondoni jana kilitikiswa vikali baada ya kuzuka kwa malalamiko ya kuwepo kwa vitendo vya ufuska vilivyoshamiri katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam.
Idadi kubwa ya madiwani hao wameelezea kushuhudia na kusikitishwa na vitendo hivyo, hususan vya ngono na kuiomba serikali kutofumbia macho suala hilo walilosema linafaa kuitwa janga la kitaifa.
Madiwani hao waliyataja maeneo mbalimbali katika manispaa yao, ambayo yamekuwa...

 

5 years ago

Michuzi

MADIWANI HALMASHAURI YA KINONDONI WAIPONGEZA TARURA





Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni katikati Mhe. Benjamini Sitta akiwa na Naibu Meya George Manyama na Kaimu Mkurugenzi  Dk. Patricia Henjewele wakiwa katka kikao cha robo ya pili cha baraza la madiwani.Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Mhe. Maulid Mtulia akizungumza wakati wa kikao cha robo ya pili cha Baraza la Madiwani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani