CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti
Vyama vya CCM na Chadema vinaendelea kukabana koo maeneo mbalimbali katika kuwania nafasi ya umeya na uenyekiti wa halmashauri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Chadema, CCM wachuana umeya
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Umeya waivuruga CCM, Chadema
Na Waandishi Wetu
UCHAGUZI wa umeya katika manispaa mbalimbali umedaiwa kuanza kukivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kutokana na kuvurugwa huko, vyama hivyo vimeanza kulazimisha kutumia mbinu mbadala kuhakikisha vinashinda uchaguzi huo unaofanyika nchi nzima.
Moja ya mbinu wanazodaiwa kutumia ni kulazimisha wabunge wa viti maalumu kwenda kujisajili katika manispaa za mikoa mingine kama madiwani ili waweze kupiga kura katika uchaguzi wa...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Ukawa, CCM wazidi kukabana koo uchaguzi wa marudio
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani watano Chadema kuwania umeya Arusha
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Umeya wavipasua vichwa Chadema, ACT Wazalendo
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Madiwani wanne Chadema wajitokeza umeya Kinondoni
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Chadema yapitisha mgombea umeya wa jiji la Dar
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Saba CCM wawania umeya Tabora
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-HBnh2_9Xexc/VAgrLcxzdGI/AAAAAAAABnk/9rsycSvZg-g/s72-c/Freeman%2BMbowe.jpg)
Uenyekiti waipasua CHADEMA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza majina ya makada wake wanaowania nafasi za uongozi ngazi ya taifa huku majina ya vigogo na wabunge yakisheheni.
Tayari uchaguzi huo umezidi kukiweka njiapanda chama hicho kutokana na makada wengi kuenguliwa kwenye ngazi za majimbo na mikoa, ikiwa ni mkakati wa kuwatosa wanachama wapenda...