Madiwani watano Chadema kuwania umeya Arusha
Madiwani watano wa Chadema katika Jiji la Arusha, wameanza harakati za kuteuliwa kushika nafasi ya meya, baada ya chama hicho kushinda viti 24 vya udiwani kati ya 25 vilivyopo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Madiwani wanne Chadema wajitokeza umeya Kinondoni
10 years ago
Michuzi14 Feb
NOEL OLE VAROYA CHADEMA ATANGAZA KUWANIA KITI CHA UBUNGE ARUSHA
![NOEL PIC](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/kOIaTcTXHCQvodLse7ho7yK0sIw78Ql1vBG0v72U2c1aPooK8MblVpY2QJCWnjeDcPAZCYreLuVh6v7O4fQRtbDgfZ3XZOxqYkFx1ABbzOVKZUuS-h21qcg=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/02/noel-pic.jpg?w=660)
Katika picha ni Noel Olevaroya akihutubia Maelfu ya wananchi katika moja ya harakati zake katika mkutano wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa vijana na mjumbe Wilaya ya Arusha kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Noel Olevaroya (37) ametangaza rasmi kupeperusha bendera ya chama hicho kwa kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Arusha mjini
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha Noel Olevaroya alisema kuwa nia yake ya...
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Umeya waivuruga CCM, Chadema
Na Waandishi Wetu
UCHAGUZI wa umeya katika manispaa mbalimbali umedaiwa kuanza kukivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Kutokana na kuvurugwa huko, vyama hivyo vimeanza kulazimisha kutumia mbinu mbadala kuhakikisha vinashinda uchaguzi huo unaofanyika nchi nzima.
Moja ya mbinu wanazodaiwa kutumia ni kulazimisha wabunge wa viti maalumu kwenda kujisajili katika manispaa za mikoa mingine kama madiwani ili waweze kupiga kura katika uchaguzi wa...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Chadema, CCM wachuana umeya
9 years ago
Mwananchi13 Dec
CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Chadema yapitisha mgombea umeya wa jiji la Dar
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Umeya wavipasua vichwa Chadema, ACT Wazalendo
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Madiwani Hai watimua watumishi watano
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Hai, limefikia uamuzi wa kufukuzisha kazi watumishi wake watano kwa kosa la utoro kazini. Maazimio ya kufukuzwa kazi kwa watendaji hao yalifikiwa...
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Watano kuwania mwanasoka bora Afrika
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI
NYOTA watano wa soka ambao wanawania tuzo ya BBC mwaka 2015, wamewekwa hadharani juzi katika hafla maalumu iliyoandaliwa Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Nyota hao ni pamoja na mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014, Yacine Brahimi kutoka nchini Algeria, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka nchini Gabon, Andre Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mane na Yaya Toure wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa ya kupiga kura hadi ifikapo tarehe...