Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umeya waivuruga CCM, Chadema

DSC_0373-FILEminimizerNa Waandishi Wetu

UCHAGUZI wa umeya katika manispaa mbalimbali umedaiwa kuanza kukivuruga Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Kutokana na kuvurugwa huko, vyama hivyo vimeanza kulazimisha kutumia mbinu mbadala kuhakikisha vinashinda uchaguzi huo unaofanyika nchi nzima.

Moja ya mbinu wanazodaiwa kutumia ni kulazimisha wabunge wa viti maalumu kwenda kujisajili katika manispaa za mikoa mingine kama madiwani ili waweze kupiga kura katika uchaguzi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Chadema, CCM wachuana umeya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na CCM vimechuana katika uchaguzi wa umeya na uenyekiti wa halmashauri za wilaya katika mikoa mbalimbali nchini.     

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti

Vyama vya CCM na Chadema vinaendelea kukabana koo maeneo mbalimbali katika kuwania nafasi ya umeya na uenyekiti wa halmashauri.

 

9 years ago

Mwananchi

Madiwani watano Chadema kuwania umeya Arusha

Madiwani watano wa Chadema katika Jiji la Arusha, wameanza harakati za kuteuliwa kushika nafasi ya meya, baada ya chama hicho kushinda viti 24 vya udiwani kati ya 25 vilivyopo.

 

9 years ago

Mwananchi

Madiwani wanne Chadema wajitokeza umeya Kinondoni

Madiwani wanne wa Chadema Manispaa ya Kinondoni wamejitokeza kuwania umeya.

 

9 years ago

Mwananchi

Umeya wavipasua vichwa Chadema, ACT Wazalendo

Uchaguzi wa umeya katika mji wa Moshi, Kigoma Ujiji na Jiji la Arusha unaonekana kuwa kaa la moto katika vyama vya upinzani ambavyo ndivyo vinaongoza katika miji hiyo miwili. 

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yapitisha mgombea umeya wa jiji la Dar

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetaja majina ya madiwani wake watatu watakaowania umeya wa manispaa za Ilala, Konondoni na Jiji la Dar es Salaam, huku kikijihakikishia ushindi kutokana na kuwa na idadi kubwa ya madiwani katika manispaa hizo, kuliko wa CCM.

 

9 years ago

Mwananchi

Saba CCM wawania umeya Tabora

Madiwani saba wamejitokeza kuwania umeya wa Manispaa ya Tabora, huku watano wakiutaka unaibu meya ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Mwananchi

CCM, CUF wahofia kuhujumiana umeya Tanga

Mchakato wa kuwapitisha wagombea wa nafasi ya umeya wa Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa vyama vya CCM na CUF utaanza wakati wowote huku kila chama kikifanya siri kwa madai ya kuhofia kuhujumiwa.

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani