Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa, CCM wazidi kukabana koo uchaguzi wa marudio

Matokeo ya uchaguzi wa marudio wa viongozi wa serikali za mitaa uliofanyika juzi yameonyesha kuwa pamoja na CCM kuendelea kuongoza, chama hicho tawala kimepoteza viti katika maeneo kadhaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]

The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Mwananchi

Ukawa, CCM wakabana koo bungeni

Dodoma. Mjadala wa Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu mwaka 2015/16 katika kikao cha pili cha mkutano wa 20 wa Bunge la 10, umetekwa na kampeni za Uchaguzi Mkuu ujao, huku wabunge kutoka vyama vya upinzani wakihakikisha wanatumia neno “Serikali imechoka” kila wanaposimama kuchangia, huku wa CCM wakiitetea na kutamba kuibuka na ushindi wa kishindo.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa wakabana koo udiwani

Matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi yanayoonyesha kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetwaa ushindi katika kata nyingi na hivyo kustahili kuongoza halmashauri za miji huku kikifuatiwa kwa karibu na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa marudio Zanzibar

Wakati kamati maalumu ya kutatua mkwamo wa kisiasa Zanzibar ikiendelea na mazungumzo, CCM imewataka wafuasi wake visiwani humo kujiandaa na Uchaguzi Mkuu wa marudio ili kukiletea chama hicho ushindi wa kishindo utakapofanyika.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM Dar yaikaba koo Tume ya Uchaguzi

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kusimamia kwa makini uandikishaji wapigakura jijini hapa ili wakazi wote wapate fursa ya kuandikishwa, ndani ya muda uliopangwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali

>Viongozi wa dini wamezidi kuikaba koo Serikali kuhusu kashfa ya Escrow na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri ‘mizigo’ wazidi kukabwa koo bungeni Dodoma

Baraza la mawaziri limeendelea kuwashiwa moto bungeni, baada ya Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), kulitaka Bunge  kuwang’oa mawaziri walioshindwa kuwajibika.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti

Vyama vya CCM na Chadema vinaendelea kukabana koo maeneo mbalimbali katika kuwania nafasi ya umeya na uenyekiti wa halmashauri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani