Ukawa, CCM wakabana koo bungeni
Dodoma. Mjadala wa Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu mwaka 2015/16 katika kikao cha pili cha mkutano wa 20 wa Bunge la 10, umetekwa na kampeni za Uchaguzi Mkuu ujao, huku wabunge kutoka vyama vya upinzani wakihakikisha wanatumia neno “Serikali imechoka†kila wanaposimama kuchangia, huku wa CCM wakiitetea na kutamba kuibuka na ushindi wa kishindo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Oct
CCM, Ukawa wakabana koo udiwani
10 years ago
Mwananchi11 Dec
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Serikali, Bunge wakabana koo
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Msigwa, Mwakalebela wakabana koo Iringa
KAMA ilivyo kwa Mbeya Mjini, Jimbo la Iringa Mjini nako ni mapambano kati ya Mgombea wa CCM, Davi
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Ukawa, CCM wazidi kukabana koo uchaguzi wa marudio
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
‘CCM wasisherehekee UKAWA kutoka bungeni’
SIKU moja baada ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao kwa madai ya kuchoshwa kusikiliza matusi, ubaguzi na kauli za chuki, wananchi na vyama vya upinzani...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Mawaziri ‘mizigo’ wazidi kukabwa koo bungeni Dodoma
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
CCM yakabwa koo na Chadema Singida
Msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Mohammed Nkya, akitoa matokeo ya uchaguzi wa serikali ya vijiji uliofanyika Jumapili iliyopita kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
CHAMA cha maendeleo na demokrasia (CHADEMA) kimeshinda nafasi za uenyekiti wa vijiji 49 na kinafuatiwa kwa karibu na CCM iliyopata vijiji 41,wakati CUF imeambulia vijiji vinne.
Halmashauri mpya ya Ikungi ina...
10 years ago
Mwananchi30 Jul
CCM Dar yaikaba koo Tume ya Uchaguzi