Mawaziri ‘mizigo’ wazidi kukabwa koo bungeni Dodoma
Baraza la mawaziri limeendelea kuwashiwa moto bungeni, baada ya Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), kulitaka Bunge kuwang’oa mawaziri walioshindwa kuwajibika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Ukawa, CCM wazidi kukabana koo uchaguzi wa marudio
10 years ago
Mwananchi14 May
Ukawa, CCM wakabana koo bungeni
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]
The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo20 Jan
Kilichowabakiza ‘mawaziri mizigo’
SERIKALI imetoa kauli kuhusu tuhuma zilizokuwa zikiwakabili baadhi ya mawaziri, waliobatizwa jina la ‘Mawaziri Mizigo’, na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa kukabiliana na kero zilizosababisha wapewe jina hilo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0n7Hrjai02swGIDz*Fk6WdsDDd9a1GXYZsD1YLavc3d1oFhkym9UJhFYmcJjYLUQ9IiMPO7-tReXJLtgUaG1e-5/kinana.jpg?width=650)
MAWAZIRI MIZIGO ISICHUKULIWE KISIASA
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Mawaziri ‘mizigo’ wapata mtetezi
KAMATI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imepingwa kwa hatua yake ya kuwaainisha mawaziri wanaoonekana kuwa mizigo ndani ya Baraza la Mawaziri, huku Katibu wa Uenezi na Itikadi Nape Nnauye...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Mawaziri mizigo waipasua CCM
HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni ambapo sasa makundi mbalimbali yameanza kuibuka na kushambuliana kwa maneno...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Slaa: Aliyeteua mawaziri mizigo awajibishwe