Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali
>Viongozi wa dini wamezidi kuikaba koo Serikali kuhusu kashfa ya Escrow na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]
The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Maaskofu wazidi kuibana Serikali
Na Esther Mbusi Dar es Salaam na Fredy Azzah, Dodoma
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF), limeendelea kushikilia msimamo wake wa kuwashinikiza waumini kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
Limesema Katiba Inayopendekezwa imefika hapo ilipo kwa njia ya ubabe na kukosa uadilifu. Tamko la umoja huo lililotolewa jana na kusainiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malasusa, Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Tarcisius...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Ukawa, CCM wazidi kukabana koo uchaguzi wa marudio
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Mawaziri ‘mizigo’ wazidi kukabwa koo bungeni Dodoma
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Serikali, Bunge wakabana koo
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Zitto aikaba koo Serikali mapato ya Tanzanite soko la nje
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Maaskofu waikosoa serikali Eritrea
11 years ago
Habarileo20 Feb
Serikali yawapa ufafanuzi maaskofu wa Kipentekoste
SERIKALI haikuwa na nia ya kuwabagua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) katika uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Imesema uchunguzi uliofanywa, umethibitisha Baraza hilo halikufikisha mapendekezo yake panakohusika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
MAASKOFU ANGLIKANA WAITAKA JAMII KUUNGANA NA JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILIANA NA COVD_19
![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s640/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
Askofu wa Kanisa la Anglikana nchini Dkt.Mahimbo Mndolwa akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Katika kukabiliana na ugonjwa wa corona nchini ,kanisa la Anglikana limetangaza kuongeza ibada zake katika makanisa yake yote ili kuondoa msongamano ambao ungeweza kusababisha maambukizi zaidi ya ugonjwa huo.
Akitoa tamko hilo jijini Arusha mbele ya maskofu 28 wa dayosisi za kanisa hilo, Askofu Mkuu wa kanisa hilo nchini...