Serikali yawapa ufafanuzi maaskofu wa Kipentekoste
SERIKALI haikuwa na nia ya kuwabagua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) katika uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Imesema uchunguzi uliofanywa, umethibitisha Baraza hilo halikufikisha mapendekezo yake panakohusika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi19 Feb
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Maaskofu waikosoa serikali Eritrea
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Maaskofu wazidi kuibana Serikali
Na Esther Mbusi Dar es Salaam na Fredy Azzah, Dodoma
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF), limeendelea kushikilia msimamo wake wa kuwashinikiza waumini kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
Limesema Katiba Inayopendekezwa imefika hapo ilipo kwa njia ya ubabe na kukosa uadilifu. Tamko la umoja huo lililotolewa jana na kusainiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malasusa, Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Tarcisius...
11 years ago
MichuziSERIKALI YAWAPA VYETI VYA URAIA WATANZANIA WENYE ASILI YA KISOMALI 1,514
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi