Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yawapa ufafanuzi maaskofu wa Kipentekoste

SERIKALI haikuwa na nia ya kuwabagua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) katika uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Imesema uchunguzi uliofanywa, umethibitisha Baraza hilo halikufikisha mapendekezo yake panakohusika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maaskofu waikosoa serikali Eritrea

Maaskofu 4 wa kanisa katoliki ,wameandika barua inayokosoa mfumo wa maisha nchini humo, hatua ambayo inaonekana kama ya kishujaa ndani ya nchi ambayo haina uhuru wa kujieleza

 

10 years ago

Mtanzania

Maaskofu wazidi kuibana Serikali

Aakofu NgalalekumtwaASKOFU ALEX MALASUSANa Esther Mbusi Dar es Salaam na Fredy Azzah, Dodoma

JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF), limeendelea kushikilia msimamo wake wa kuwashinikiza waumini kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
Limesema Katiba Inayopendekezwa imefika hapo ilipo kwa njia ya ubabe na kukosa uadilifu. Tamko la umoja huo lililotolewa jana na kusainiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malasusa, Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Tarcisius...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAPA VYETI VYA URAIA WATANZANIA WENYE ASILI YA KISOMALI 1,514

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akimpa cheti cha uraia wa Tanzania, Mkimbizi wa Kisomali mwenye asili ya Kibantu, Ramadhani Haji katika hafla iliyofanyika katika Kijiji cha Chogo, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Waziri Chikawe alitoa vyeti vya uraia kwa wakimbizi 1,514 waliopo katika Makazi ya Chogo ambao waliomba kupewa uraia kwa mujibu wa Sheria ya Tanzania. Kulia kwa Waziri ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuwahudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce...

 

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali

>Viongozi wa dini wamezidi kuikaba koo Serikali kuhusu kashfa ya Escrow na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi

Ongezeko la ghafla la kodi ya asilimia 20 kwa bia na vinywaji vikali na baridi ambalo lilitangazwa na Serikali mwezi huu limewaacha watengenezaji wa bidhaa hizo wakiwa katika mfadhaiko mkubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani