Maaskofu wazidi kuibana Serikali
Na Esther Mbusi Dar es Salaam na Fredy Azzah, Dodoma
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF), limeendelea kushikilia msimamo wake wa kuwashinikiza waumini kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
Limesema Katiba Inayopendekezwa imefika hapo ilipo kwa njia ya ubabe na kukosa uadilifu. Tamko la umoja huo lililotolewa jana na kusainiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malasusa, Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Tarcisius...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali
9 years ago
GPLCUF WAZIDI KUIBANA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Sugu kuibana Serikali inunue kipimo cha CT-Scan
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Kinana atinga Masasi, ataka CCM iendelee kuibana serikali juu ya wafujaji wa fedha za umma
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ufyatuaji matofali kwa kutumia mashine ya kujengea ofisi ya CCM Wilaya ya Masasi, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Maaskofu waikosoa serikali Eritrea
11 years ago
Habarileo20 Feb
Serikali yawapa ufafanuzi maaskofu wa Kipentekoste
SERIKALI haikuwa na nia ya kuwabagua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) katika uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Imesema uchunguzi uliofanywa, umethibitisha Baraza hilo halikufikisha mapendekezo yake panakohusika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
MAASKOFU ANGLIKANA WAITAKA JAMII KUUNGANA NA JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILIANA NA COVD_19
![](https://1.bp.blogspot.com/-tLFXYkEnNII/XnNsMLuTSeI/AAAAAAAAIuI/Mig0d_5vPFES_1ibKIGMbq0Kej_kQBe1QCEwYBhgL/s640/IMG_20200319_123004_219_1584612935576.jpg)
Askofu wa Kanisa la Anglikana nchini Dkt.Mahimbo Mndolwa akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Katika kukabiliana na ugonjwa wa corona nchini ,kanisa la Anglikana limetangaza kuongeza ibada zake katika makanisa yake yote ili kuondoa msongamano ambao ungeweza kusababisha maambukizi zaidi ya ugonjwa huo.
Akitoa tamko hilo jijini Arusha mbele ya maskofu 28 wa dayosisi za kanisa hilo, Askofu Mkuu wa kanisa hilo nchini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fB3Gh-jAWIQ/Xl4yrWSn8CI/AAAAAAALgrQ/-oLuep10ER4sYmR3b_w0WW5VeZt10Gn7gCLcBGAsYHQ/s72-c/pix%2B1.jpg)
Ushirikiano Serikali ya SMT na SMZ wazidi kupaa
Katika kuimarisha Muungano Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo zimeendelea kutekeleza vizuri maeneo ya ushirikiano ambayo yameridhiwa na pande hizo.
Hayo yamebainika leo visiwani Zanzibar katika Kikao cha Wataalam wa Sekta hizo kutoka pande mbili za serikali wakati walipokuwa wakijadili utekelezaji wa maazimio yaliyoridhiwa na Mawaziri wanaosimamia sekta hizo mwezi julai 2019...