Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maaskofu wazidi kuibana Serikali

Aakofu NgalalekumtwaASKOFU ALEX MALASUSANa Esther Mbusi Dar es Salaam na Fredy Azzah, Dodoma

JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF), limeendelea kushikilia msimamo wake wa kuwashinikiza waumini kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
Limesema Katiba Inayopendekezwa imefika hapo ilipo kwa njia ya ubabe na kukosa uadilifu. Tamko la umoja huo lililotolewa jana na kusainiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malasusa, Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Tarcisius...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu wazidi kuikaba koo Serikali

>Viongozi wa dini wamezidi kuikaba koo Serikali kuhusu kashfa ya Escrow na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

9 years ago

GPL

CUF WAZIDI KUIBANA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Kutoka kulia ni Mwakilishi Mteule wa Jimbo la Ole-Pemba, Hamad Massoud, Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Serikali ya Zanzibar,Nassor Ahmed Mazrui na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa chama hicho, Abbakar Khamis Bakar. Mmoja wa viongozi wa chama hicho akitoa ufafanuzi wa jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).…

 

9 years ago

Mwananchi

Sugu kuibana Serikali inunue kipimo cha CT-Scan

Mgombea ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chadema, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kama akichaguliwa kuwa mbunge atapigana kuhakikisha Hospitali ya Rufaa ya Mbeya inapata kipimo cha  CT-Scan ili kuwahudumia wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana atinga Masasi, ataka CCM iendelee kuibana serikali juu ya wafujaji wa fedha za umma

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ufyatuaji matofali kwa kutumia mashine ya kujengea ofisi ya CCM Wilaya ya Masasi, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

 Kinana akilakiwa katika Kijiji cha Mwena-Ndanda alipoanza ziara katika Wilaya ya Masasi, mkoani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maaskofu waikosoa serikali Eritrea

Maaskofu 4 wa kanisa katoliki ,wameandika barua inayokosoa mfumo wa maisha nchini humo, hatua ambayo inaonekana kama ya kishujaa ndani ya nchi ambayo haina uhuru wa kujieleza

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yawapa ufafanuzi maaskofu wa Kipentekoste

SERIKALI haikuwa na nia ya kuwabagua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste (PCT) katika uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Imesema uchunguzi uliofanywa, umethibitisha Baraza hilo halikufikisha mapendekezo yake panakohusika.

 

5 years ago

Michuzi

MAASKOFU ANGLIKANA WAITAKA JAMII KUUNGANA NA JUHUDI ZA SERIKALI KUKABILIANA NA COVD_19


Askofu wa Kanisa la Anglikana nchini Dkt.Mahimbo Mndolwa akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha leo picha na Ahmed Mahmoud Arusha

Na Ahmed Mahmoud Arusha

Katika kukabiliana na ugonjwa wa corona nchini ,kanisa la Anglikana limetangaza kuongeza ibada zake katika makanisa yake yote ili kuondoa msongamano ambao ungeweza kusababisha maambukizi zaidi ya ugonjwa huo.

Akitoa tamko hilo jijini Arusha mbele ya maskofu 28 wa dayosisi za kanisa hilo, Askofu Mkuu wa kanisa hilo nchini...

 

5 years ago

Michuzi

Ushirikiano Serikali ya SMT na SMZ wazidi kupaa

Na Shamimu Nyaki – WHUSM, Zanzibar
Katika kuimarisha Muungano Serikali ya Tanzania Bara  na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika  Sekta za Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo zimeendelea kutekeleza vizuri maeneo ya ushirikiano ambayo yameridhiwa na pande hizo.
Hayo yamebainika leo visiwani Zanzibar katika Kikao cha Wataalam wa Sekta hizo kutoka pande mbili za serikali wakati walipokuwa wakijadili utekelezaji wa maazimio yaliyoridhiwa na Mawaziri wanaosimamia sekta hizo mwezi julai 2019...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani