Sugu kuibana Serikali inunue kipimo cha CT-Scan
Mgombea ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chadema, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kama akichaguliwa kuwa mbunge atapigana kuhakikisha Hospitali ya Rufaa ya Mbeya inapata kipimo cha CT-Scan ili kuwahudumia wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Oct
Mbatia aishangaa serikali kukosa kipimo cha Ebola
Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, alisema kwa Wizara ya Afya kukiri kwamba vipimo hivyo huchukuliwa na kupelekwa Nairobi kwa ajili ya uchunguzi zaidi ni fedheha kwa taifa ambalo...
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Maaskofu wazidi kuibana Serikali
Na Esther Mbusi Dar es Salaam na Fredy Azzah, Dodoma
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF), limeendelea kushikilia msimamo wake wa kuwashinikiza waumini kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
Limesema Katiba Inayopendekezwa imefika hapo ilipo kwa njia ya ubabe na kukosa uadilifu. Tamko la umoja huo lililotolewa jana na kusainiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malasusa, Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Tarcisius...
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Kinana atinga Masasi, ataka CCM iendelee kuibana serikali juu ya wafujaji wa fedha za umma
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ufyatuaji matofali kwa kutumia mashine ya kujengea ofisi ya CCM Wilaya ya Masasi, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kinana akilakiwa katika Kijiji cha Mwena-Ndanda alipoanza ziara katika Wilaya ya Masasi, mkoani...
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Tanzania haina kipimo cha Ebola
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Aziza Masoud na Geofrey Jacka, Dar es Salaam
SERIKALI imesema haina vipimo vya kutambua ugonjwa wa Ebola.
Kutokana na hali hiyo imesema ikiwa atatokea mgonjwa mwenye virusi vya ugonjwa huo watalazimika kupeleka damu ya mgonjwa jijini Nairobi nchini Kenya ambako kuna maabara inayoweza kutambua virusi hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema kutokana na...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Tanzania yaanguka kipimo cha uwazi wa bajeti 2015
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Kipimo cha uongozi siyo kuifunga Simba au Yanga
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Okwi: Shooting siyo kipimo cha kuikabili Al Ahly