Mbatia aishangaa serikali kukosa kipimo cha Ebola
Balozi wa Majanga Afrika, James Mbatia,(pichani) amesema Serikali‘inajifedhehesha kwa kushindwa kuisaidia Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kutokana na kutokuwa mtambo wake wa kuchunguza sampuli za damu za wagonjwa wakiwamo wanaohisiwa kuwa na virusi vya Ebola kutegemea vipimo vya Kenya.
Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, alisema kwa Wizara ya Afya kukiri kwamba vipimo hivyo huchukuliwa na kupelekwa Nairobi kwa ajili ya uchunguzi zaidi ni fedheha kwa taifa ambalo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Tanzania haina kipimo cha Ebola
![Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Dk.-Seif-Rashid.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Aziza Masoud na Geofrey Jacka, Dar es Salaam
SERIKALI imesema haina vipimo vya kutambua ugonjwa wa Ebola.
Kutokana na hali hiyo imesema ikiwa atatokea mgonjwa mwenye virusi vya ugonjwa huo watalazimika kupeleka damu ya mgonjwa jijini Nairobi nchini Kenya ambako kuna maabara inayoweza kutambua virusi hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema kutokana na...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Sugu kuibana Serikali inunue kipimo cha CT-Scan
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Jaji Warioba aishangaa Serikali
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Filbert Bayi aishangaa Serikali
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Diamond aishangaa Serikali kwa kutowathamini wasanii
10 years ago
MichuziMBUNGE JAMESN MBATIA AWASHUKURU WANANCHI JIMBO LA VUNJO KUKIUNGA MKONO CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
VijimamboMBUNGE JAMES MBATIA AWASHUKURU WANANCHI JIMBO LA VUNJO KUKIUNGA MKONO CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga