Tanzania haina kipimo cha Ebola
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Aziza Masoud na Geofrey Jacka, Dar es Salaam
SERIKALI imesema haina vipimo vya kutambua ugonjwa wa Ebola.
Kutokana na hali hiyo imesema ikiwa atatokea mgonjwa mwenye virusi vya ugonjwa huo watalazimika kupeleka damu ya mgonjwa jijini Nairobi nchini Kenya ambako kuna maabara inayoweza kutambua virusi hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema kutokana na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Oct
Mbatia aishangaa serikali kukosa kipimo cha Ebola
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/James-Mbatia--October28-2014.jpg)
Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, alisema kwa Wizara ya Afya kukiri kwamba vipimo hivyo huchukuliwa na kupelekwa Nairobi kwa ajili ya uchunguzi zaidi ni fedheha kwa taifa ambalo...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Tanzania yaanguka kipimo cha uwazi wa bajeti 2015
10 years ago
Michuzi03 Nov
JENGA TANZANIA FOUNDATION YAWALETEA KIPIMO CHA MALARIA PAPO HAPO !.
10 years ago
Vijimambo04 Nov
JENGA TANZANIA FOUNDATION YAWALETEA KIPIMO CHA MALERIA PAPO KWA HAPO
Kipimo hicho chenye uwezo wa kugundua vijidudu vya...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Tanzania haina ugonjwa wa EBOLA, udhibiti viwanja vya ndege na mipakani waimarishwa
Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola, Virusi vyake , dalili na namna unavyoenea wakati wa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Imeelezwa kuwa Tanzania kwa sasa haina raia yeyote aliyeingia nchini kutoka mataifa mengine aliyebainika kuwa na maabukizi ya Virusi vya ugonjwa wa Ebola kufuatia zoezi...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili
10 years ago
BBCSwahili09 May
UN:Liberia haina Ebola tena
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
WHO:Sierra Leone haina Ebola
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Kipimo cha uongozi si kuifunga Simba au Yanga