Filbert Bayi aishangaa Serikali
Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi amesema ripoti ya timu za Tanzania zilizoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola imekwama baada ya Serikali kutaka wanamichezo wote waliokwenda Scotland kuhusishwa wakati itakapowasilishwa kwao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen01 Jun
The Filbert Bayi spirit would help us greatly
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi
MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...
10 years ago
CloudsFM12 Nov
SHULE YA FILBERT BAYI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO
SHULE ya msingi ya bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 1500, Filbert Bayi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, imeelezwa.
Bayi akizungumza jana kwa njia ya simu kutoka Mkuza, Kibaha iliko shule niyo alisema kuwa, shule hiyo imeteketea kabisa kwa moto na hakuna kilichookolewa, lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.
Alisema kuwa gharama ya shule hiyo yenye wanafunzi 280 huku 69 wakiwa ni wa bweni, ni zaidi ya Sh milioni 700 na moto huo huenda ungedhibitiwa kama Zimamoto Pwani...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Moto wateketeza mabweni, madarasa Filbert Bayi
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Taasisi ya Filbert Bayi kumjenga msichana kijasiriamali
TAASISI ya Filbert Bayi ilianza kujiingiza katika masula ya elimu mnamo mwaka 1996, pale ilipoanzisha shule ya awali iliyokuwa na jumla ya wanafunzi saba. Akizungumza na mwandishi wa makala hii,...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Jaji Warioba aishangaa Serikali
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Diamond aishangaa Serikali kwa kutowathamini wasanii
10 years ago
Vijimambo28 Oct
Mbatia aishangaa serikali kukosa kipimo cha Ebola
Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, alisema kwa Wizara ya Afya kukiri kwamba vipimo hivyo huchukuliwa na kupelekwa Nairobi kwa ajili ya uchunguzi zaidi ni fedheha kwa taifa ambalo...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Costa aishangaa Mwadui