Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filbert Bayi aishangaa Serikali

Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi amesema ripoti ya timu za Tanzania zilizoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola imekwama baada ya Serikali kutaka wanamichezo wote waliokwenda Scotland kuhusishwa wakati itakapowasilishwa kwao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

The Filbert Bayi spirit would help us greatly

We all know what parliament is, and we are all ashamed of it.” Those are the words of the Scottish author, Robert Louis Stevenson, who penned the novel, “Treasure Island,” whose Swahili translation “Kisiwa Chenye Hazina” was popular across East Africa in the 1970s and 1980s.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi

MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...

 

10 years ago

CloudsFM

SHULE YA FILBERT BAYI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO

SHULE ya msingi ya bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 1500, Filbert Bayi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, imeelezwa.
Bayi akizungumza jana kwa njia ya simu kutoka Mkuza, Kibaha iliko shule niyo alisema kuwa, shule hiyo imeteketea kabisa kwa moto na hakuna kilichookolewa, lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.

Alisema kuwa gharama ya shule hiyo yenye wanafunzi 280 huku 69 wakiwa ni wa bweni, ni zaidi ya Sh milioni 700 na moto huo huenda ungedhibitiwa kama Zimamoto Pwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Moto wateketeza mabweni, madarasa Filbert Bayi

Wanafunzi 70 wa Shule ya Msingi Filbert Bayi iliyopo mjini Kibaha, mkoani Pwani, wamenusurika kuteketea kwa moto baada ya mabweni mawili ya shule hiyo kushika moto na kuungua kabisa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taasisi ya Filbert Bayi kumjenga msichana kijasiriamali

TAASISI ya Filbert Bayi ilianza kujiingiza katika masula ya elimu mnamo mwaka 1996, pale ilipoanzisha shule ya awali iliyokuwa na jumla ya wanafunzi saba. Akizungumza na mwandishi wa makala hii,...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba aishangaa Serikali

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema waliokuwa wajumbe wa tume hiyo hawajawahi kudai malipo ya pensheni ya Sh200 milioni kama inavyodaiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond aishangaa Serikali kwa kutowathamini wasanii

Mwanamuziki wa kizazi kipya Diamond Platnum, ameeleza kushangazwa kwake na ukimya wa Serikali akisema unaashiria kutotambua tuzo ya kimataifa aliyoipata hivi karibuni kupitia MTV.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbatia aishangaa serikali kukosa kipimo cha Ebola

Balozi wa Majanga Afrika, James Mbatia,(pichani) amesema Serikali‘inajifedhehesha kwa kushindwa kuisaidia Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kutokana na kutokuwa mtambo wake wa kuchunguza sampuli za damu za wagonjwa wakiwamo wanaohisiwa kuwa na virusi vya Ebola kutegemea vipimo vya Kenya.

Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, alisema kwa Wizara ya Afya kukiri kwamba vipimo hivyo huchukuliwa na kupelekwa Nairobi kwa ajili ya uchunguzi zaidi ni fedheha kwa taifa ambalo...

 

10 years ago

Mwananchi

Costa aishangaa Mwadui

Siku moja baada ya Mwadui FC kutangaza kumtema Victor Costa ‘Nyumba’, beki huyo wa zamani wa Taifa Stars amesema hana taarifa zozote za kuachwa kwake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani