Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi
MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen01 Jun
The Filbert Bayi spirit would help us greatly
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Filbert Bayi aishangaa Serikali
10 years ago
CloudsFM12 Nov
SHULE YA FILBERT BAYI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO
SHULE ya msingi ya bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 1500, Filbert Bayi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, imeelezwa.
Bayi akizungumza jana kwa njia ya simu kutoka Mkuza, Kibaha iliko shule niyo alisema kuwa, shule hiyo imeteketea kabisa kwa moto na hakuna kilichookolewa, lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.
Alisema kuwa gharama ya shule hiyo yenye wanafunzi 280 huku 69 wakiwa ni wa bweni, ni zaidi ya Sh milioni 700 na moto huo huenda ungedhibitiwa kama Zimamoto Pwani...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Moto wateketeza mabweni, madarasa Filbert Bayi
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Taasisi ya Filbert Bayi kumjenga msichana kijasiriamali
TAASISI ya Filbert Bayi ilianza kujiingiza katika masula ya elimu mnamo mwaka 1996, pale ilipoanzisha shule ya awali iliyokuwa na jumla ya wanafunzi saba. Akizungumza na mwandishi wa makala hii,...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Vodacom wakerwa na mzigo wa kodi
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakulima walia na kodi
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Walia na utitiri wa kodi nchini
10 years ago
Mwananchi05 May
Wapangaji NHC walia na kodi