Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi

MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

The Filbert Bayi spirit would help us greatly

We all know what parliament is, and we are all ashamed of it.” Those are the words of the Scottish author, Robert Louis Stevenson, who penned the novel, “Treasure Island,” whose Swahili translation “Kisiwa Chenye Hazina” was popular across East Africa in the 1970s and 1980s.

 

10 years ago

Mwananchi

Filbert Bayi aishangaa Serikali

Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi amesema ripoti ya timu za Tanzania zilizoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola imekwama baada ya Serikali kutaka wanamichezo wote waliokwenda Scotland kuhusishwa wakati itakapowasilishwa kwao.

 

10 years ago

CloudsFM

SHULE YA FILBERT BAYI ILIVYOTEKETEA KWA MOTO

SHULE ya msingi ya bingwa wa zamani wa dunia wa mbio za mita 1500, Filbert Bayi imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana, imeelezwa.
Bayi akizungumza jana kwa njia ya simu kutoka Mkuza, Kibaha iliko shule niyo alisema kuwa, shule hiyo imeteketea kabisa kwa moto na hakuna kilichookolewa, lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa.

Alisema kuwa gharama ya shule hiyo yenye wanafunzi 280 huku 69 wakiwa ni wa bweni, ni zaidi ya Sh milioni 700 na moto huo huenda ungedhibitiwa kama Zimamoto Pwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Moto wateketeza mabweni, madarasa Filbert Bayi

Wanafunzi 70 wa Shule ya Msingi Filbert Bayi iliyopo mjini Kibaha, mkoani Pwani, wamenusurika kuteketea kwa moto baada ya mabweni mawili ya shule hiyo kushika moto na kuungua kabisa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taasisi ya Filbert Bayi kumjenga msichana kijasiriamali

TAASISI ya Filbert Bayi ilianza kujiingiza katika masula ya elimu mnamo mwaka 1996, pale ilipoanzisha shule ya awali iliyokuwa na jumla ya wanafunzi saba. Akizungumza na mwandishi wa makala hii,...

 

9 years ago

Mwananchi

Vodacom wakerwa na mzigo wa kodi

Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania, imelalamikia kutozwa kodi kubwa na kusababisha ishindwe kutoa huduma za mawasiliano kwa wananchi wengi wa vijijini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima walia na kodi

Wakulima wa mkonge nchini wameiomba Serikali kuondoa kodi sumbufu ikiwamo ya ardhi,OSHA, kodi ya mafuta , VAT kwenye nyuzi na ushuru wa mazao ili kupunguza mzigo wa uendeshaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Walia na utitiri wa kodi nchini

Chama cha Wafanyabiashara na Viwanda Tanzania (TCCIA) Iringa, kimeishauri Serikali kupunguza utitiri wa kodi ili kuvutia wawekezaji na kuharakisha maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wapangaji NHC walia na kodi

Baadhi ya wakazi wa mjini Musoma Mkoa wa Mara wamedai kuwa gharama zinazotozwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa wapangaji wake ni kubwa tofauti na maelezo ya Serikali kuwa nyumba hizo ni za bei nafuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani