Wapangaji NHC walia na kodi
Baadhi ya wakazi wa mjini Musoma Mkoa wa Mara wamedai kuwa gharama zinazotozwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa wapangaji wake ni kubwa tofauti na maelezo ya Serikali kuwa nyumba hizo ni za bei nafuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakulima walia na kodi
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Walia na utitiri wa kodi nchini
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi
MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
‘NHC iondolewe kodi ya majengo’
10 years ago
Habarileo26 May
Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC
SERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Jengo la CCM Dar lachefua wapangaji
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Kumiliki nyumba kisiwe kigezo cha kunyanyasa wapangaji !
KAMA kuna watu ambao wana hadhi zote za kuwa ‘miungu watu’ wa hapa duniani, basi ni pamoja na baadhi ya wale wenye nyumba za kupangisha hususan Jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yamhamasisha Mkurugenzi wa Bodi ya NHC
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia...