Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapangaji NHC walia na kodi

Baadhi ya wakazi wa mjini Musoma Mkoa wa Mara wamedai kuwa gharama zinazotozwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa wapangaji wake ni kubwa tofauti na maelezo ya Serikali kuwa nyumba hizo ni za bei nafuu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wakulima walia na kodi

Wakulima wa mkonge nchini wameiomba Serikali kuondoa kodi sumbufu ikiwamo ya ardhi,OSHA, kodi ya mafuta , VAT kwenye nyuzi na ushuru wa mazao ili kupunguza mzigo wa uendeshaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Walia na utitiri wa kodi nchini

Chama cha Wafanyabiashara na Viwanda Tanzania (TCCIA) Iringa, kimeishauri Serikali kupunguza utitiri wa kodi ili kuvutia wawekezaji na kuharakisha maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido

Wajasiriamali waliopanga kwenye majengo ya Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (Sido) jijini Dar es Salaam, wamelalamikia kupanda kwa zaidi ya mara tatu kwa kodi ya pango.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi

MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...

 

11 years ago

Mwananchi

‘NHC iondolewe kodi ya majengo’

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekubaliana na kilio cha Shirika la Nyumba kuomba iondolewe kodi kwa lengo la kupunguza gharama za nyumba kwa Watanzania wenye kipato cha chini.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angellah KairukiSERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Jengo la CCM Dar lachefua wapangaji

>Hali ya uchakavu wa  jengo la Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam, imekuwa kero kwa wapangaji wake na kusababisha hofu miongoni mwao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kumiliki nyumba kisiwe kigezo cha kunyanyasa wapangaji !

KAMA kuna watu ambao wana hadhi zote za kuwa ‘miungu watu’ wa hapa duniani, basi ni pamoja na baadhi ya wale wenye nyumba za kupangisha hususan Jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kasi ya Utekelezaji miradi ya NHC Mtwara yamhamasisha Mkurugenzi wa Bodi ya NHC

Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani