Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC
SERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Sep
JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais asaini muswada kuondoa kodi ya simu
11 years ago
Mwananchi19 Apr
‘NHC iondolewe kodi ya majengo’
10 years ago
Mwananchi05 May
Wapangaji NHC walia na kodi
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
CCM kuondoa kodi za ovyo, yaja na elimu bure hadi kidato IV
Mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu (hayupo pichani) akinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakimsikiliza mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu Babati Mjini.
Mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu kushoto akihutubia wanaCCM na wananchi babati Mjini.
Mbunge anaemaliza muda wake jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba kabla ya mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu kupanda jukwaani kunadi sera za CCM.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Serikali imetakiwa kuondoa urasimu
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Serikali yajipanga kuondoa ajali za barabarani nchini
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiongea na waandishi wa Habari(Hawapo pichani) mikakati ya kupunguza ajali za Barabarani ikiwemo kuongeza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na kuendelea kununua vifaa vya kisasa vitakavyosaidia kupunguza tatizo la ajali nchini,wakati wa mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiwaonyesha waandishi wa Habari(Hawapo pichani)...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Daraja Letu laitaka serikali kuondoa vitabu
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Daraja Letu, limeitaka serikali kuviondoa vitabu vyenye mkanganyiko ili kuweka sawa mitaala na muhtasari inayozingatia mazingira ya sasa kielimu. Daraja Letu pia imeitaka serikali kuchukua...
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yatakiwa kuondoa vitendo vinavyochochea Ukatili Wa Watoto
Wanaharakati wanaopinga ukatili wa Kijinsia na kutetea haki za Watoto nchini, wameitaka serikali kuondoa vitendo vinavyochochea ukatili kwa watoto ili wasiathirike katika maisha yao.
Aidha wameishauri Serikali kuangalia vitendo hivyo visije kuvunja na kuathiri malezi bora ya vizazi vijavyo kwakutengeneza jamii yenye mmomonyoko wa maadili katika sekta za maendeleo.
Tanzania, Maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia yamelenga zaidi suala la usalama shuleni kwa lengo la...