Daraja Letu laitaka serikali kuondoa vitabu
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Daraja Letu, limeitaka serikali kuviondoa vitabu vyenye mkanganyiko ili kuweka sawa mitaala na muhtasari inayozingatia mazingira ya sasa kielimu. Daraja Letu pia imeitaka serikali kuchukua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Daraja Letu laishauri serikali
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Daraja Letu, limeiomba serikali kusisitiza matumizi ya vitabu vingi kwa darasa moja na kuchukua hatua kwa wale waliohusika kutunga vitabu vinavyopotosha wanafunzi. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Uhuru Newspaper05 Mar
Bunge laitaka serikali kulipa fidia Kipunguni
NA EMMANUEL MOHAMEDKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kuharakisha malipo ya fidia kwa wananchi wa eneo la Kipunguni, Dar es Saalam kabla ya kuanza kwa vikao vya Bajeti vya Bunge. Imesema kuendelea kucheweleshwa kwa juhudi za kulipa fidia hiyo inahatarisha kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Awali, wananchi wa eneo hilo walitakiwa...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Bunge letu limefunga ndoa na Serikali?
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Serikali imetakiwa kuondoa urasimu
10 years ago
Habarileo26 May
Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC
SERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.
10 years ago
Habarileo01 Sep
Serikali yazuia uzalishaji holela wa vitabu
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesikia kilio cha muda mrefu juu ya uzalishaji wa vitabu usiokidhi viwango kwa kufuta mfumo huria wa uzalishaji na usambazaji wa vitabu shuleni na vyuo vya ualimu badala yake jukumu hilo sasa litafanywa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET).
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Serikali yajipanga kuondoa ajali za barabarani nchini
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiongea na waandishi wa Habari(Hawapo pichani) mikakati ya kupunguza ajali za Barabarani ikiwemo kuongeza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na kuendelea kununua vifaa vya kisasa vitakavyosaidia kupunguza tatizo la ajali nchini,wakati wa mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiwaonyesha waandishi wa Habari(Hawapo pichani)...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara
9 years ago
StarTV24 Nov
Serikali yatakiwa kuondoa vitendo vinavyochochea Ukatili Wa Watoto
Wanaharakati wanaopinga ukatili wa Kijinsia na kutetea haki za Watoto nchini, wameitaka serikali kuondoa vitendo vinavyochochea ukatili kwa watoto ili wasiathirike katika maisha yao.
Aidha wameishauri Serikali kuangalia vitendo hivyo visije kuvunja na kuathiri malezi bora ya vizazi vijavyo kwakutengeneza jamii yenye mmomonyoko wa maadili katika sekta za maendeleo.
Tanzania, Maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia yamelenga zaidi suala la usalama shuleni kwa lengo la...