Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daraja Letu laitaka serikali kuondoa vitabu

SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Daraja Letu, limeitaka serikali kuviondoa vitabu vyenye mkanganyiko ili  kuweka sawa mitaala na muhtasari inayozingatia mazingira ya sasa kielimu. Daraja Letu pia imeitaka serikali kuchukua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Daraja Letu laishauri serikali

SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Daraja Letu, limeiomba serikali kusisitiza matumizi ya vitabu vingi kwa darasa moja na kuchukua hatua kwa wale waliohusika kutunga vitabu vinavyopotosha wanafunzi. Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Bunge laitaka serikali kulipa fidia Kipunguni



NA EMMANUEL MOHAMEDKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kuharakisha malipo ya fidia kwa wananchi wa eneo la Kipunguni, Dar es Saalam kabla ya kuanza kwa vikao vya Bajeti vya Bunge. Imesema kuendelea kucheweleshwa kwa juhudi za kulipa fidia hiyo inahatarisha kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Awali, wananchi wa eneo hilo walitakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge letu limefunga ndoa na Serikali?

Limehitimisha mjadala wa Kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow kwa kupitisha maazimio kadhaa ikiwamo kutaka wahusika wawajibishwe na Rais Jakaya Kikwete.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali imetakiwa kuondoa urasimu

Serikali imetakiwa kuingilia kati urasimu wa upatikanaji masoko kwa wafanyabiashara na wakulima wa mbogamboga na matunda, kufuatia kukithiri kwa vitendo vya rushwa vinavyofanywa na madalali.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angellah KairukiSERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yazuia uzalishaji holela wa vitabu

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesikia kilio cha muda mrefu juu ya uzalishaji wa vitabu usiokidhi viwango kwa kufuta mfumo huria wa uzalishaji na usambazaji wa vitabu shuleni na vyuo vya ualimu badala yake jukumu hilo sasa litafanywa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET).

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yajipanga kuondoa ajali za barabarani nchini

IMG_2079

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiongea na waandishi wa Habari(Hawapo pichani) mikakati ya kupunguza ajali za Barabarani ikiwemo kuongeza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na kuendelea kununua vifaa vya kisasa vitakavyosaidia kupunguza tatizo la ajali nchini,wakati wa mkutano uliofanyika  jijini Dar es Salaam.

IMG_2065

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga akiwaonyesha waandishi wa Habari(Hawapo pichani)...

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara

Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imedhamiria kuondoa urasimu, rushwa na matatizo kwenye kodi katika biashara, ili kupunguza idadi ya watu laki nane wapya wanaotafuta ajira kila mwaka nchini.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yatakiwa kuondoa vitendo vinavyochochea Ukatili Wa Watoto

Wanaharakati wanaopinga ukatili wa Kijinsia na kutetea haki za Watoto nchini, wameitaka serikali kuondoa vitendo vinavyochochea ukatili kwa watoto  ili  wasiathirike katika maisha yao.

Aidha wameishauri Serikali kuangalia vitendo hivyo visije kuvunja na kuathiri malezi bora ya vizazi vijavyo kwakutengeneza  jamii yenye mmomonyoko wa maadili katika sekta za maendeleo.

Tanzania, Maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia yamelenga zaidi suala la usalama  shuleni kwa lengo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani