Bunge laitaka serikali kulipa fidia Kipunguni
NA EMMANUEL MOHAMEDKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kuharakisha malipo ya fidia kwa wananchi wa eneo la Kipunguni, Dar es Saalam kabla ya kuanza kwa vikao vya Bajeti vya Bunge. Imesema kuendelea kucheweleshwa kwa juhudi za kulipa fidia hiyo inahatarisha kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Awali, wananchi wa eneo hilo walitakiwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Mar
Fidia Kipunguni yafikia Shilingi bilioni18
FIDIA ya wananchi wa Kipunguni waliobomolewa nyumba zao kwa ajili ya kupisha ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam imefikia Sh bilioni 18.
11 years ago
Mwananchi03 Nov
Bunge laitaka TPDC kukabidhi mikataba 26
10 years ago
BBCSwahili28 May
Hospitali kulipa fidia ya Ujauzito
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Shell yakubali kulipa fidia Nigeria
10 years ago
Habarileo08 Mar
Milioni 85 kutumika kulipa fidia Ruangwa
NAIBU Waziri wa Maji Amosi Makala amewahakikishia wananchi wa kijiji cha Chinongwe wilayani Ruangwa kwamba Wizara ya Maji imesikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu fidia katika mradi wa usambazaji wa maji kupitia mradi mkubwa wa Mbwinji na kwamba tayari fedha za fidia hizo zimeshapatikana.
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Marikana:Afrika kusini kulipa fidia
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Daraja Letu laitaka serikali kuondoa vitabu
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Daraja Letu, limeitaka serikali kuviondoa vitabu vyenye mkanganyiko ili kuweka sawa mitaala na muhtasari inayozingatia mazingira ya sasa kielimu. Daraja Letu pia imeitaka serikali kuchukua...
11 years ago
Habarileo03 Jun
TAZARA yatakiwa kulipa fidia wafanyakazi 270
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) iwalipe fidia wafanyakazi 270 kwa kuwastaafisha kwa lazima kabla ya umri halali wa kustaafu.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni