Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge laitaka serikali kulipa fidia Kipunguni



NA EMMANUEL MOHAMEDKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kuharakisha malipo ya fidia kwa wananchi wa eneo la Kipunguni, Dar es Saalam kabla ya kuanza kwa vikao vya Bajeti vya Bunge. Imesema kuendelea kucheweleshwa kwa juhudi za kulipa fidia hiyo inahatarisha kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Awali, wananchi wa eneo hilo walitakiwa...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Fidia Kipunguni yafikia Shilingi bilioni18

Mkurugenzi Mkuu wa TAA, Suleiman Said FIDIA ya wananchi wa Kipunguni waliobomolewa nyumba zao kwa ajili ya kupisha ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam imefikia Sh bilioni 18.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge laitaka TPDC kukabidhi mikataba 26

Ofisi ya Bunge imeutaka uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo saa 4:00 asubuhi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hospitali kulipa fidia ya Ujauzito

Mahakama nchini Kenya imeamuru hospitali maarufu kulipa faini ya dola zaidi ya elfu 48 kwa kushindwa kuzuia uzazi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Shell yakubali kulipa fidia Nigeria

Kampuni kubwa ya mafuta ya Shell imekubali kulipa dola milioni 80 kama fidia.

 

10 years ago

Habarileo

Milioni 85 kutumika kulipa fidia Ruangwa

Amosi MakalaNAIBU Waziri wa Maji Amosi Makala amewahakikishia wananchi wa kijiji cha Chinongwe wilayani Ruangwa kwamba Wizara ya Maji imesikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu fidia katika mradi wa usambazaji wa maji kupitia mradi mkubwa wa Mbwinji na kwamba tayari fedha za fidia hizo zimeshapatikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marikana:Afrika kusini kulipa fidia

Serikali ya Afrika Kusini imesema italipa fidia kwa familia za wafanyakazi wa mgodini waliouawa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daraja Letu laitaka serikali kuondoa vitabu

SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Daraja Letu, limeitaka serikali kuviondoa vitabu vyenye mkanganyiko ili  kuweka sawa mitaala na muhtasari inayozingatia mazingira ya sasa kielimu. Daraja Letu pia imeitaka serikali kuchukua...

 

11 years ago

Habarileo

TAZARA yatakiwa kulipa fidia wafanyakazi 270

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) iwalipe fidia wafanyakazi 270 kwa kuwastaafisha kwa lazima kabla ya umri halali wa kustaafu.

 

11 years ago

Mwananchi

IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni

Sakata la tuhuma za wizi wa pesa katika Akaunti ya Escrow ndani ya Benki Kuu (BoT) sasa limehamia mahakamani baada ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kumfungulia mashtaka Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani