Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shell yakubali kulipa fidia Nigeria

Kampuni kubwa ya mafuta ya Shell imekubali kulipa dola milioni 80 kama fidia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bunge Nigeria lataka Shell ilipe fidia

Bunge nchini Nigeria limesema kampuni ya Shell inapaswa kulipa karibu dola bilioni 4 kama fidia kwa familia zilizoathirika na kuvuja kwa mafuta mwaka 2011.

 

9 years ago

BBCSwahili

Japan yakubali fidia kwa watumwa wa ngono

Japan na Korea Kusini zimefikia makubaliano ya kihistoria kuhusu wanawake waliolazimishwa kutumika kama watumwa wa ngono.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hospitali kulipa fidia ya Ujauzito

Mahakama nchini Kenya imeamuru hospitali maarufu kulipa faini ya dola zaidi ya elfu 48 kwa kushindwa kuzuia uzazi .

 

10 years ago

Habarileo

Milioni 85 kutumika kulipa fidia Ruangwa

Amosi MakalaNAIBU Waziri wa Maji Amosi Makala amewahakikishia wananchi wa kijiji cha Chinongwe wilayani Ruangwa kwamba Wizara ya Maji imesikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu fidia katika mradi wa usambazaji wa maji kupitia mradi mkubwa wa Mbwinji na kwamba tayari fedha za fidia hizo zimeshapatikana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marikana:Afrika kusini kulipa fidia

Serikali ya Afrika Kusini imesema italipa fidia kwa familia za wafanyakazi wa mgodini waliouawa

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Bunge laitaka serikali kulipa fidia Kipunguni



NA EMMANUEL MOHAMEDKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kuharakisha malipo ya fidia kwa wananchi wa eneo la Kipunguni, Dar es Saalam kabla ya kuanza kwa vikao vya Bajeti vya Bunge. Imesema kuendelea kucheweleshwa kwa juhudi za kulipa fidia hiyo inahatarisha kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Awali, wananchi wa eneo hilo walitakiwa...

 

11 years ago

Habarileo

TAZARA yatakiwa kulipa fidia wafanyakazi 270

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) iwalipe fidia wafanyakazi 270 kwa kuwastaafisha kwa lazima kabla ya umri halali wa kustaafu.

 

11 years ago

Habarileo

Bil.6.8/-kutumika kulipa fidia Makambako hadi Songea

SERIKALI imetenga zaidi ya Sh bilioni 6.8 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi walioko kandokando mwa barabara kuu kutoka Makambako hadi Songea.

 

11 years ago

Mwananchi

IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni

Sakata la tuhuma za wizi wa pesa katika Akaunti ya Escrow ndani ya Benki Kuu (BoT) sasa limehamia mahakamani baada ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kumfungulia mashtaka Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani