Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milioni 85 kutumika kulipa fidia Ruangwa

Amosi MakalaNAIBU Waziri wa Maji Amosi Makala amewahakikishia wananchi wa kijiji cha Chinongwe wilayani Ruangwa kwamba Wizara ya Maji imesikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu fidia katika mradi wa usambazaji wa maji kupitia mradi mkubwa wa Mbwinji na kwamba tayari fedha za fidia hizo zimeshapatikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bil.6.8/-kutumika kulipa fidia Makambako hadi Songea

SERIKALI imetenga zaidi ya Sh bilioni 6.8 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi walioko kandokando mwa barabara kuu kutoka Makambako hadi Songea.

 

11 years ago

Mwananchi

Adai fidia vyeti vyake kutumika

Kampuni ya Indepth Scientific Company Ltd ya Kenya inayoendesha shughuli zake nchini imeburuzwa MmSh400 milioni kwa kutumia jina na vyeti vya Mtanzania Kelvin Martin katika shughuli zake bila ridhaa yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hospitali kulipa fidia ya Ujauzito

Mahakama nchini Kenya imeamuru hospitali maarufu kulipa faini ya dola zaidi ya elfu 48 kwa kushindwa kuzuia uzazi .

 

9 years ago

BBCSwahili

Marikana:Afrika kusini kulipa fidia

Serikali ya Afrika Kusini imesema italipa fidia kwa familia za wafanyakazi wa mgodini waliouawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Shell yakubali kulipa fidia Nigeria

Kampuni kubwa ya mafuta ya Shell imekubali kulipa dola milioni 80 kama fidia.

 

11 years ago

Habarileo

TAZARA yatakiwa kulipa fidia wafanyakazi 270

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) iwalipe fidia wafanyakazi 270 kwa kuwastaafisha kwa lazima kabla ya umri halali wa kustaafu.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Bunge laitaka serikali kulipa fidia Kipunguni



NA EMMANUEL MOHAMEDKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), kuharakisha malipo ya fidia kwa wananchi wa eneo la Kipunguni, Dar es Saalam kabla ya kuanza kwa vikao vya Bajeti vya Bunge. Imesema kuendelea kucheweleshwa kwa juhudi za kulipa fidia hiyo inahatarisha kusitishwa kwa mradi wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA). Awali, wananchi wa eneo hilo walitakiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

IPTL yamtaka Kafulila kulipa fidia ya Sh310 bilioni

Sakata la tuhuma za wizi wa pesa katika Akaunti ya Escrow ndani ya Benki Kuu (BoT) sasa limehamia mahakamani baada ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kumfungulia mashtaka Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila.

 

5 years ago

Michuzi

Mwalimu ahukumiwa miaka 3 jela na kulipa fidia Mil.10 kwa kumsababishia ulemavu mwanafunzi wake

Na Amiri kilagalila,Njombe

Mahakama ya wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke hapo awali kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya shilingi milioni kumi baada ya kumkuta na hatia ya kumpiga mwanafunzi wake na kumsababishia ulemavu wa kudumu.

Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya wilaya ya Njombe kupitia hakimu Ivran Msaki ambae amesema mahakama imesikiliza ushahidi wa pande zote mbili wa shauri namba 141 la mwaka 2019 na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani