Serikali yatakiwa kuondoa vitendo vinavyochochea Ukatili Wa Watoto
Wanaharakati wanaopinga ukatili wa Kijinsia na kutetea haki za Watoto nchini, wameitaka serikali kuondoa vitendo vinavyochochea ukatili kwa watoto ili wasiathirike katika maisha yao.
Aidha wameishauri Serikali kuangalia vitendo hivyo visije kuvunja na kuathiri malezi bora ya vizazi vijavyo kwakutengeneza jamii yenye mmomonyoko wa maadili katika sekta za maendeleo.
Tanzania, Maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia yamelenga zaidi suala la usalama shuleni kwa lengo la...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV25 Nov
Jamii yatakiwa kuungana kuvidhibiti vitendo vya ukatili
Kukithiri kwa ukatili katika jamii nchini hakupaswi kufumbiwa macho na badala yake nguvu ya pamoja ya kudhibiti vitendo hivyo inahitajika ili kuwanusuru waathirika.
Kutokana na takwimu za Taasisi ya takwimu Tanzania za mwaka 2010 za vitendo vya ukatili ambavyo vimeshamiri katika mikoa ya kanda ya ziwa zinaonyesha kuwa mkoa wa Mara unaongoza kwa asilimia 66 na mikoa ya Mwanza na Geita ikifuatia kwa asilimia 56 kila mmoja wakati mkoa wa Kagera ukiwa na asilimia 49 ya vitendo hivyo.
Kauli ya...
5 years ago
CCM BlogSAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/
Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii tabia ya kuwageuza...
11 years ago
Habarileo24 Apr
Vitendo vya ukatili kwa watoto vyaongezeka
WATOTO 863 nchini wamefanyiwa vitendo vya kikatili mwaka jana, ikiwemo kulawitiwa na walezi wao. Aidha katika kipindi hicho watu 1,669 waliuawa kwa wananchi kujichukulia sheria mkononi.
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
10 years ago
Mwananchi15 Dec
EAC yatakiwa kuondoa vikwazo vya ajira
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mbeya, Rukwa vinara wa vitendo vya ukatili, ubakaji
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Serikali ya Tanzania, UNICEF waendesha warsha kwa vyombo vya habari kuzuia ukatili kwa watoto
![](http://4.bp.blogspot.com/-xPEuoElfRdk/VOyXoRM8lnI/AAAAAAAAAAM/V5WKtv9O_IY/s1600/Julieth%2BSwai%2BMwakilishi%2Bkutoka%2BUNICEF%2B.jpg)
Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcH0vpNqRwk/VOyXpUMw04I/AAAAAAAAAAY/kWnfRekkBNI/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwa%2BWarsha%2Bwakifuatilia%2Bkwa%2Bmakini.jpg)
Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VkKSK8OvKF8/VOyXpXPGdWI/AAAAAAAAAAU/Tg6G19ReQGs/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwakiuliza%2Bmaswali%2Bkatika%2Bwarsha%2Bhiyo.jpg)
Mmoja wa washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vPO18FRLxk/VOyXp3DzeGI/AAAAAAAAAAg/VUIwrR6zg5w/s1600/Kimela%2BBila%2BMwandaaji%2Bwa%2BKipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bakizungumza%2Bkatika%2BWarsha.jpg)
Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wrxMKS5MiPg/VOyXrBB5pnI/AAAAAAAAAAs/MF_EOQIsxII/s1600/Mathias%2BHaule%2C%2BAfisa%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2Bmaswala%2Bya%2BUkatili%2Bdhidi%2Bya%2BWatoto%2Bkutoka%2BWizara%2Bya%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2C%2BJinsia%2Bna%2BWatoto%2Bakielezea%2BSheria%2Bya%2BMtoto.jpg)
Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6do6HPPS5Lc/VOyXsOj3JkI/AAAAAAAAAA0/OLCDMLwKzk4/s1600/Neema%2BKimaro%2C%2BMratibu%2Bwa%2Bkipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bkutoka%2BTrue%2BVision%2BProduction%2Bakiendelea%2Bna%2Bmaandalizi%2Bya%2Bwarsha.jpg)
Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LxPKed2vox8/Xk021vO4-cI/AAAAAAABDLU/sLHiM6oYqdc0-MjuqrW2lqzbRTfXrC5iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Kampuni ya Green Miles yatakiwa kuondoa vifaa vyake Kitalu cha Lake Natron.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LxPKed2vox8/Xk021vO4-cI/AAAAAAABDLU/sLHiM6oYqdc0-MjuqrW2lqzbRTfXrC5iACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mamlaka ya usimamizi wanyamapori nchini(TAWA) imetaka Kampuni ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha uwindaji cha Lake Natron (East),kuondoa vifaa vyake.
Kampuni hiyo iliondolewa na Serikali tangu, January 22 lakini hadi Jana watendaji wa Kampuni hiyo walikuwa hawajajitokeza kuondoa vifaa vyao kwenye kambi inayolindwa na Askari wa TAWA,polisi na askari mgambo .
Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangalla Agost 7 mwaka jana alitangaza uamuzi wa Serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s2QI6P2KgLQ/Xk_2zliBPnI/AAAAAAALevE/MRomBgkZHcky9yMJuK0Hbj4bfRiA-tkfQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX.-NO.-1.jpg)
JAMII YATAKIWA KUPINGA UKATILI WA AINA ZOTE KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-s2QI6P2KgLQ/Xk_2zliBPnI/AAAAAAALevE/MRomBgkZHcky9yMJuK0Hbj4bfRiA-tkfQCLcBGAsYHQ/s640/PIX.-NO.-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX.-NO.-2.jpg)
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Afya- Idara Kuu ya maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Prudence Consntatine na...