Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Green Miles yatakiwa kuondoa vifaa vyake Kitalu cha Lake Natron.

 Mwandishi wetu,Longido
Mamlaka ya usimamizi wanyamapori nchini(TAWA) imetaka Kampuni ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha uwindaji cha Lake Natron (East),kuondoa vifaa vyake.
Kampuni hiyo iliondolewa na Serikali tangu, January 22 lakini hadi Jana watendaji wa Kampuni hiyo walikuwa hawajajitokeza  kuondoa vifaa vyao kwenye kambi inayolindwa na Askari wa TAWA,polisi na askari mgambo .
Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangalla  Agost 7 mwaka jana alitangaza uamuzi wa Serikali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Locals set to take charge of Lake Natron

Long-standing complaints over the government controlling land and wildlife resources belonging to villages surrounding Lake Natron will soon become history, that is if all plans go well.

 

10 years ago

NEWS.Com.Au (Blog)

Lake Natron is spectacularly weird, and is also deadly


Lake Natron is spectacularly weird, and is also deadly
NEWS.com.au (blog)
IT MAY look pretty in pink, but this lake is actually pretty deadly. A series of incredible aerial photographs have captured the bizarrely coloured Lake Natron, in northern Tanzania, like never before. The water, which is coloured in several different shades of ...

 

10 years ago

TheCitizen

UN agency names Lake Natron new tourism hot spot

>The UN World Tourism Organisation (UNWTO) has picked Lake Natron as one of the world’s eight hotspots that ought to be supported and developed into tourists’ destinations.

 

10 years ago

KwanzaJamii

Lake Natron’s Soda Ash Project is Safe, Tendering Going On

Environmental impact research findings for proposed soda ash mining project in Lake Natron and Engaruka basin indicate that there is no threat posed to the ecosystem and tendering for the project is proceeding to schedule. According to the National Development Corporation (NDC) tenders for the project were announced last month and will be closed on September 10, this year. “Doors are open for interested bidders…we are happy that the project is going to kick off despite the obstacles...

 

10 years ago

Spyghana.Com

Villagers sign pact to save northern Tanzania's Lake Natron


spyghana.com
Villagers sign pact to save northern Tanzania's Lake Natron
spyghana.com
Villagers in northern Tanzania have sealed a contract with the African Wildlife Foundation (AWF) in an effort towards rescuing Lake Natron, the main breeding site of flamingo birds, which are threatened by human activities in recent years, an official said on ...

 

10 years ago

BirdLife International

World Migratory Bird Day 2014: Stakeholders Pledge to Protect Lake Natron


BirdLife International
World Migratory Bird Day 2014: Stakeholders Pledge to Protect Lake Natron
BirdLife International
The Government of Tanzania has pledged to accord a higher protection status to the Lesser Flamingo (Phoeniconaias minor) breeding grounds of Lake Natron. This was revealed during the celebration of the World Migratory Bird Day (WMBD) 2014 on 28th ...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA AKAGUA KITALU CHA MICHE YA MKONGO CHA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO MLINGANO


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama miche ya mkonge wakati alipotembelea kitalu cha Taasisi ya Kilimo Nchini (TARI) Mlingano wilayani Muheza Machi 6, 2020.  Kulia ni Mwenyekti wa CCM wa mkoa wa Tanga, Henry Shekifu, wa nne kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omar Mgumba na wa tatu kulia ni  Mkurugenzi wa Kituo hicho, Dkt. Catherene Senkoro. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama miche ya mkonge wakati alipotembelea kitalu cha Taasisi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

EAC yatakiwa kuondoa vikwazo vya ajira

Serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zimeshauriwa kuondoa vikwazo vya ajira kwa walimu wa masomo ya Kiingereza, Kifaransa na Kiswahili ili kusaidia kukuza sekta ya elimu kwa nchi wanachama.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yatakiwa kuondoa vitendo vinavyochochea Ukatili Wa Watoto

Wanaharakati wanaopinga ukatili wa Kijinsia na kutetea haki za Watoto nchini, wameitaka serikali kuondoa vitendo vinavyochochea ukatili kwa watoto  ili  wasiathirike katika maisha yao.

Aidha wameishauri Serikali kuangalia vitendo hivyo visije kuvunja na kuathiri malezi bora ya vizazi vijavyo kwakutengeneza  jamii yenye mmomonyoko wa maadili katika sekta za maendeleo.

Tanzania, Maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia yamelenga zaidi suala la usalama  shuleni kwa lengo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani