Serikali ya Tanzania, UNICEF waendesha warsha kwa vyombo vya habari kuzuia ukatili kwa watoto
Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcH0vpNqRwk/VOyXpUMw04I/AAAAAAAAAAY/kWnfRekkBNI/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwa%2BWarsha%2Bwakifuatilia%2Bkwa%2Bmakini.jpg)
Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VkKSK8OvKF8/VOyXpXPGdWI/AAAAAAAAAAU/Tg6G19ReQGs/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwakiuliza%2Bmaswali%2Bkatika%2Bwarsha%2Bhiyo.jpg)
Mmoja wa washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vPO18FRLxk/VOyXp3DzeGI/AAAAAAAAAAg/VUIwrR6zg5w/s1600/Kimela%2BBila%2BMwandaaji%2Bwa%2BKipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bakizungumza%2Bkatika%2BWarsha.jpg)
Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wrxMKS5MiPg/VOyXrBB5pnI/AAAAAAAAAAs/MF_EOQIsxII/s1600/Mathias%2BHaule%2C%2BAfisa%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2Bmaswala%2Bya%2BUkatili%2Bdhidi%2Bya%2BWatoto%2Bkutoka%2BWizara%2Bya%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2C%2BJinsia%2Bna%2BWatoto%2Bakielezea%2BSheria%2Bya%2BMtoto.jpg)
Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6do6HPPS5Lc/VOyXsOj3JkI/AAAAAAAAAA0/OLCDMLwKzk4/s1600/Neema%2BKimaro%2C%2BMratibu%2Bwa%2Bkipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bkutoka%2BTrue%2BVision%2BProduction%2Bakiendelea%2Bna%2Bmaandalizi%2Bya%2Bwarsha.jpg)
Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xPEuoElfRdk/VOyXoRM8lnI/AAAAAAAAAAM/V5WKtv9O_IY/s72-c/Julieth%2BSwai%2BMwakilishi%2Bkutoka%2BUNICEF%2B.jpg)
WARSHA KUHUSU NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO NCHINI TANZANIA YAFUNGULIWA LEO KILIMANJARO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xPEuoElfRdk/VOyXoRM8lnI/AAAAAAAAAAM/V5WKtv9O_IY/s1600/Julieth%2BSwai%2BMwakilishi%2Bkutoka%2BUNICEF%2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcH0vpNqRwk/VOyXpUMw04I/AAAAAAAAAAY/kWnfRekkBNI/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwa%2BWarsha%2Bwakifuatilia%2Bkwa%2Bmakini.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VkKSK8OvKF8/VOyXpXPGdWI/AAAAAAAAAAU/Tg6G19ReQGs/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwakiuliza%2Bmaswali%2Bkatika%2Bwarsha%2Bhiyo.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vPO18FRLxk/VOyXp3DzeGI/AAAAAAAAAAg/VUIwrR6zg5w/s1600/Kimela%2BBila%2BMwandaaji%2Bwa%2BKipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bakizungumza%2Bkatika%2BWarsha.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wrxMKS5MiPg/VOyXrBB5pnI/AAAAAAAAAAs/MF_EOQIsxII/s1600/Mathias%2BHaule%2C%2BAfisa%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2Bmaswala%2Bya%2BUkatili%2Bdhidi%2Bya%2BWatoto%2Bkutoka%2BWizara%2Bya%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2C%2BJinsia%2Bna%2BWatoto%2Bakielezea%2BSheria%2Bya%2BMtoto.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6do6HPPS5Lc/VOyXsOj3JkI/AAAAAAAAAA0/OLCDMLwKzk4/s1600/Neema%2BKimaro%2C%2BMratibu%2Bwa%2Bkipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bkutoka%2BTrue%2BVision%2BProduction%2Bakiendelea%2Bna%2Bmaandalizi%2Bya%2Bwarsha.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
10 years ago
Bongo515 Mar
Vanessa Mdee aungana na UNICEF kupinga ukatili kwa watoto
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s72-c/images.jpg)
BENKI YA DUNIA: TANZANIA YAONGOZA DUNIANI KUTOA HUDUMA ZA PESA KWA SIMUTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s200/images.jpg)
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia ya simu.
Benki hiyo ya Dunia pia imesema kuwa Serikali ya Tanzania imewekeza kwa kiwango cha juu katika mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ikilinganishwa na nchi...
9 years ago
StarTV10 Nov
Serikali yapiga marufuku matumizi mabaya ya mipaka kwa vyombo vya habari
Serikali imepiga marufuku matumizi mabaya ya ramani ya Tanzania kwa vyombo vya habari nchini ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa Ramani hizo mitaani.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene amesema vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitumia ramani ya Tanzania isivyo sahihi ambayo inaonyesha ziwa nyasa kuwa upande wa nchi ya...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Siku ya Mtoto Njiti Duniani: Huduma za gharama nafuu zenye ufanisi katika kuzuia vifo vya watoto njiti Tanzania, inasema UNICEF na wadau wengine
World Prematurity Day press release – SWA FINAL Nov 17 2014.docx by moblog
11 years ago
MichuziOFAB TANZANIA YATOA SEMINA KWA WAHARIRI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s72-c/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Taarifa ya kifo kwa vyombo vya habari kutoka JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ).
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s1600/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Brigedia Jenerali Hashim Iddi Mbita (mstaafu) enzi za uhai wake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cou40X-9XwI/VT9im-1FWlI/AAAAAAAHTw8/_9bebtCWLsQ/s1600/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi, Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203, Telex : 41051 DAR ESSALAAM, 28 Aprili, 2015. Tele Fax : 2153426 Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk Tovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa ya kifo kwa Vyombo vya...