Vanessa Mdee aungana na UNICEF kupinga ukatili kwa watoto
Vanessa Mdee ameungana na shirika la kutetea haki za watoto duniani, UNICEF kupinga ukatili dhidi ya watoto. “Tanzanian artist @VanessaMdee is joining #UNICEFTanzania to #ENDviolence against Children #WalindeWatoto,” wameandika UNICEF. “Day well spent with #UNICEFTanzania #EndViolenceCampaign #WalindeWatoto,” ameandika Vanessa kwenye picha aliyoiweka Instagram. Vanessa anaungana na AY na Faraja Kotta kwenye kampeni hiyo iitwayo ‘Walinde […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Serikali ya Tanzania, UNICEF waendesha warsha kwa vyombo vya habari kuzuia ukatili kwa watoto
![](http://4.bp.blogspot.com/-xPEuoElfRdk/VOyXoRM8lnI/AAAAAAAAAAM/V5WKtv9O_IY/s1600/Julieth%2BSwai%2BMwakilishi%2Bkutoka%2BUNICEF%2B.jpg)
Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcH0vpNqRwk/VOyXpUMw04I/AAAAAAAAAAY/kWnfRekkBNI/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwa%2BWarsha%2Bwakifuatilia%2Bkwa%2Bmakini.jpg)
Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VkKSK8OvKF8/VOyXpXPGdWI/AAAAAAAAAAU/Tg6G19ReQGs/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwashiriki%2Bwakiuliza%2Bmaswali%2Bkatika%2Bwarsha%2Bhiyo.jpg)
Mmoja wa washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vPO18FRLxk/VOyXp3DzeGI/AAAAAAAAAAg/VUIwrR6zg5w/s1600/Kimela%2BBila%2BMwandaaji%2Bwa%2BKipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bakizungumza%2Bkatika%2BWarsha.jpg)
Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wrxMKS5MiPg/VOyXrBB5pnI/AAAAAAAAAAs/MF_EOQIsxII/s1600/Mathias%2BHaule%2C%2BAfisa%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2Bmaswala%2Bya%2BUkatili%2Bdhidi%2Bya%2BWatoto%2Bkutoka%2BWizara%2Bya%2BMaendeleo%2Bya%2BJamii%2C%2BJinsia%2Bna%2BWatoto%2Bakielezea%2BSheria%2Bya%2BMtoto.jpg)
Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6do6HPPS5Lc/VOyXsOj3JkI/AAAAAAAAAA0/OLCDMLwKzk4/s1600/Neema%2BKimaro%2C%2BMratibu%2Bwa%2Bkipindi%2Bcha%2BWalinde%2BWatoto%2Bkutoka%2BTrue%2BVision%2BProduction%2Bakiendelea%2Bna%2Bmaandalizi%2Bya%2Bwarsha.jpg)
Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ckFOxiTzsIs/U57Mz4iQRRI/AAAAAAAFq-k/DRBqz96S8rA/s72-c/AY1.jpg)
UNICEF Tanzania yawateua AY na Faraja K. Nyalandu kama Mabalozi wa kuhamasisha umma juu ya ukatili dhidi ya watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-ckFOxiTzsIs/U57Mz4iQRRI/AAAAAAAFq-k/DRBqz96S8rA/s1600/AY1.jpg)
“Katika kituo hiki, huduma za kuwasaidia wahanga wa ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto ikiwa ni pamoja na huduma za afya, msaada wa kisaikolojia, ulinzi/usalama na msaada wa kisheria vinaweza kutolewa hapo katika eneo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s72-c/001.GENDAR.jpg)
VODACOM FOUNDATION YANOGESHA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s640/001.GENDAR.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SFzYBMkmum4/VmbDBosNEiI/AAAAAAAIK60/-bXdynWM798/s640/002.GENDAR.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s72-c/3e.jpg)
UZINDUZI WA MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO WAFANYIKA LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s1600/3e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1mtLEbLOITY/VHxzx_7tVAI/AAAAAAACvoE/xaAQmmR50wE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bSRvfyHJIE8/VHxzx1n-8QI/AAAAAAACvoA/JSsoOzjH2Hk/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Bongo501 Jan
Vanessa Mdee athibitisha uhusiano na Jux kwa picha hii?
9 years ago
Bongo517 Oct
Vanessa Mdee azungumzia kufananishwa kwa video yake mpya na ile ya Ciara
9 years ago
Bongo528 Nov
Hizi ni chati za Afrika ambazo ‘Never Ever’ ya Vanessa Mdee inasumbua kwa sasa
![vee4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/vee4-300x194.jpg)
Wimbo wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ ambao video yake ilianza kutoka October 9 kwa kutambulishwa kupitia Trace Urban na kufatiwa na audio iliyotoka Oct 12, unaendelea kushika chati mbalimbali za vituo vya TV pamoja na radio barani Afrika.
Baadhi ya chati ambazo wimbo huo uliopikwa na producer anayesumbua sana kwa sasa Nahreel wa The Industry na video kuongozwa na Justin Campos, ni pamoja na Africa Top 10 ya Trace Urban ambapo kwa wiki hii imekamata nafasi ya pili.
Chati nyingine ni Africa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10