Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yapiga marufuku  matumizi mabaya ya mipaka kwa vyombo vya habari

Serikali imepiga marufuku matumizi mabaya ya ramani ya Tanzania kwa vyombo vya habari nchini ikiwa ni pamoja na uuzwaji wa Ramani hizo mitaani.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Assa Mwambene amesema vyombo vya habari hapa nchini vimekuwa vikitumia ramani ya Tanzania isivyo sahihi ambayo inaonyesha ziwa nyasa kuwa upande wa nchi ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Tanzania, UNICEF waendesha warsha kwa vyombo vya habari kuzuia ukatili kwa watoto

 

Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo.

Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini.

Mmoja wa  washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo.

Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo.

Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto.

Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari

Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Sahara Comminication, Samuel Nyalla (katikati), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Saed Kubenea kutoka Mwanahalisi Publishers na Mwanasheria, Godfrey...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali kuvibana vyombo vya habari

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema kuwa Serikali hivi karibuni itatangaza kuyachukulia hatua kali baadhi ya magazeti ambayo yamekiuka maadili na kutishia usalama wa nchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kushirikisha vyombo vya habari

SERIKALI imeshauriwa kuvishirikisha vyombo vya habari katika mchakato mpya wa Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDGs), ili viweze kuielimisha jamii kutokana na nafasi kubwa ilivyo navyo. Rai hiyo, ilitolewa jijini Dar...

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Serikali isiogope uhuru wa vyombo vya habari

>Kati ya mijadala ya Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma, ule  wa Wizara Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ulinigusa zaidi kutokana na taaluma ninayofanyia kazi.

 

11 years ago

Michuzi

VYOMBO VYA HABARI VYAASWA KUTOA KIPAUMBELE KWA HABARI ZINAZOJENGA JAMII

Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene (kushoto) akizungumza na wahariri wa Gazeti la Jamhuri Bw. Deodatus Balile, Muhariri Mtendaji (katikati) na Bw. Manyerere Jackton , Naibu Muhariri Mtendaji (kulia) alipotembelea Ofisi za gazeti hilo mtaa wa Samora leo jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa watendaji wa Idara ya Habari kuvitembelea vyombo vya habari kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na kutatua changamoto zinazoikabili tasnia ya Habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani