JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara
Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali imedhamiria kuondoa urasimu, rushwa na matatizo kwenye kodi katika biashara, ili kupunguza idadi ya watu laki nane wapya wanaotafuta ajira kila mwaka nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Serikali imetakiwa kuondoa urasimu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3Au9o_7Sufs/VTeCKvcpeeI/AAAAAAAC3co/kiYF9WhqOdI/s72-c/4.jpg)
PDB YAKIRI KODI ZA BIASHARA SIZIZO RASMI HUISHIA KATIKA MIFUKO YA WATU NA SIO SERIKALI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3Au9o_7Sufs/VTeCKvcpeeI/AAAAAAAC3co/kiYF9WhqOdI/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NptN70oxC-4/VTeCHmx_CaI/AAAAAAAC3cQ/5yDPc8BlvzE/s1600/1.jpg)
10 years ago
Habarileo26 May
Serikali yatathmini kuondoa kodi NHC
SERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba nchini (NHC) ili kupunguza bei za nyumba hizo.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Mfumo wa Tancis wasaidia kuondoa urasimu, wizi bandarini
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mpya wa forodha wa kielektroniki (Tancis) umesaidia kuondoa urasimu na wizi wa makontena Bandarini. Ofisa Mwandamizi wa TRA, Felix Tinkasimile, alisema hayo katika...
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
Serikali yapania Kuondoa Tatizo la Dawa katika Hospitali za Umma
Mkurugenzi wa shughuli za Kanda na Huduma kwa wateja toka Bohari ya Dawa (MSD) Bw. Edward Terry Kulia akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo juu ya mpango wa bohari hiyo kupanua maghala ya kuhifadhi Dawa na Vifaa tiba kama moja ya hatua za kuboresha huduma zinazotolewa na Bohari hiyo . Kushoto ni Mkurugenzi wa Manunuzi wa Bohari hiyo Bw. Heri Mchunga.
Mkurugenzi wa Manunuzi Bohari ya Dawa (MSD) Bw. Heri Mchunga akielezea kwa waandishi wa...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Urasimu unavyoathiri Sekta ya biashara nchini
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Maofisa biashara Kusini watakiwa kuacha urasimu
11 years ago
Habarileo01 Mar
Serikali kuangalia kodi ya VAT katika nyumba
WAZIRI wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka amesema watakaa na mamlaka husika na kuangalia uwezekano wa kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba, zinazojengwa na mifuko ya hifadhi ya jamii ili ziweze kuuzwa kwa wananchi kwa bei inayoridhisha.