Serikali kuangalia kodi ya VAT katika nyumba
WAZIRI wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka amesema watakaa na mamlaka husika na kuangalia uwezekano wa kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba, zinazojengwa na mifuko ya hifadhi ya jamii ili ziweze kuuzwa kwa wananchi kwa bei inayoridhisha.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI DK.MPANGO ASEMA SERIKALI INAPENDEKEZA KUSAMEHE KODI YA ONGEZEKO LA THAMAN I(VAT) KATIKA BIMA YA KILIMO CHA MAZAO
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema kuwa Katika Bajeti ya Fedha ya mwaka 2020/2021,Serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye bima ya kilimo cha mazao.
Dk.Mpango amesema hayo leo Bungeni Mjini Dodoma wakati anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali yenye jumla ya Sh.Trilioni 34.88 ambapo katika eneo hilo la kusamehe kodi amefafanua lengo ni kupunguza gharama na kutoa unafuu katika bima za kilimo kwa ajili ya kuwawezesha...
9 years ago
StarTV17 Nov
 Serikali yashauriwa kuangalia upya kodi kwa shule binafsi
Wadau wa sekta ya elimu nchini,wameishauri serikali kuangalia upya sera yake katika masuala ya kodi kwa shule binafsi ambazo zinakwaza mendeleo ya sekta hiyo huku mzigo mkubwa ukibaki kuzielemea shule hizo pamoja na wazazi.
Wakizungumzia maendeleo ya elimu kwa shule binafsi wadau hao wamesema kazi inayofanyika ni kwa niaba ya serikali kwa kuwasomesha watoto wa watanzania na kuondoa dhana ya kwamba ni eneo la kujitengenezea faida.
Wadau hao akiwemo Mkurugenzi wa taasisi ya kielimu ya THE...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je, kodi ya nyumba inastahili kuondoshwa katika kipindi hiki cha janga la Covid-19?
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Watumishi: VAT iondolewe kwenye nyumba
10 years ago
Mwananchi13 Sep
JK: Serikali kuondoa urasimu katika kodi za biashara
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Serikali isiache mwanya katika kukusanya kodi
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Serikali isipeleke siasa katika nyumba za ibada
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3Au9o_7Sufs/VTeCKvcpeeI/AAAAAAAC3co/kiYF9WhqOdI/s72-c/4.jpg)
PDB YAKIRI KODI ZA BIASHARA SIZIZO RASMI HUISHIA KATIKA MIFUKO YA WATU NA SIO SERIKALI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3Au9o_7Sufs/VTeCKvcpeeI/AAAAAAAC3co/kiYF9WhqOdI/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NptN70oxC-4/VTeCHmx_CaI/AAAAAAAC3cQ/5yDPc8BlvzE/s1600/1.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 May
Serikali kufuta misamaha ya VAT