WAZIRI DK.MPANGO ASEMA SERIKALI INAPENDEKEZA KUSAMEHE KODI YA ONGEZEKO LA THAMAN I(VAT) KATIKA BIMA YA KILIMO CHA MAZAO
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema kuwa Katika Bajeti ya Fedha ya mwaka 2020/2021,Serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye bima ya kilimo cha mazao.
Dk.Mpango amesema hayo leo Bungeni Mjini Dodoma wakati anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali yenye jumla ya Sh.Trilioni 34.88 ambapo katika eneo hilo la kusamehe kodi amefafanua lengo ni kupunguza gharama na kutoa unafuu katika bima za kilimo kwa ajili ya kuwawezesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Mar
Serikali kuangalia kodi ya VAT katika nyumba
WAZIRI wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka amesema watakaa na mamlaka husika na kuangalia uwezekano wa kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika nyumba, zinazojengwa na mifuko ya hifadhi ya jamii ili ziweze kuuzwa kwa wananchi kwa bei inayoridhisha.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AZINDUA MFUMO WA KUWAUNGANISHA WAKULIMA NA WANUNUZI WA MAZAO (MOBILE KILIMO)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K8k1yu8EM8c/XvXhF2A3cbI/AAAAAAALvhA/JgUrG1dC7oAAy22jgcerEVJB8JqcEuYAwCLcBGAsYHQ/s72-c/MGUMMMM.jpg)
Naibu waziri wa kilimo Omar Mgumba,aagiza kukusanywa tani elfu thelathini za mazao
![](https://1.bp.blogspot.com/-K8k1yu8EM8c/XvXhF2A3cbI/AAAAAAALvhA/JgUrG1dC7oAAy22jgcerEVJB8JqcEuYAwCLcBGAsYHQ/s400/MGUMMMM.jpg)
Wakala wa taifa wa hifadhi ya chakula kanda ya Makambako,mkoani Njombe umetakiwa kukusanya tani elfu thelethini za mazao kwa mwaka wa fedha wa 2020 /2021.
Agizo hilo limetolewa na Naibu waziri wa kilimo nchini Omar Mgumba wakati akizungumza na watumishi wa hifadhi hiyo,ambapo amesema kuwa lengo la serikali kitaifa ni kununua na kuhifadhi mazao tani laki tatu kwa mwaka na kanda ya Makambako inatakiwa kununua tani elfu thelathini na kuhakikisha inapata faida katika...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.
Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...
9 years ago
Habarileo10 Dec
JK: Sijawahi kusamehe kodi makontena
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete amesema katika uongozi wake wa miaka 10, hakuwahi kuagiza mtu asamehewe kontena lake lisilipe kodi na angefanya hivyo, mapato ya Serikali yasingeongezeka kutoka Sh bilioni 177 kwa mwezi mpaka Sh bilioni 900.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sCyHu_e6Os8/VXm79cVHOPI/AAAAAAAAPHc/dH_a-BG3Ao0/s72-c/MTWARA1.jpg)
WASIRA AWAHIMIZA WAKAZI WA MTWARA KUWEKEZA KATIKA UZALISHAJI WA MAZAO YA KILIMO NA UVUVI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCyHu_e6Os8/VXm79cVHOPI/AAAAAAAAPHc/dH_a-BG3Ao0/s640/MTWARA1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDhr9xPxS1Y/VXm8ZQPfM0I/AAAAAAAAPHk/HKW-54R1_T8/s640/MTWARA2.jpg)
Na Woinde Shizza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira,amewahimiza wakazi wa Mtwara kuwekeza katika uzalishaji wa mazao ya kilimo na uvuvi ikiwa ni sehemu ya shughuli za kiuchumi zitakazowanufaisha kutokana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sCyHu_e6Os8/VXm79cVHOPI/AAAAAAAAPHc/dH_a-BG3Ao0/s72-c/MTWARA1.jpg)
WASIRA AWAIMIZA WAKAZI WA MTWARA KUWEKEZA KATIKA UZALISHAJI WA MAZAO YA KILIMO NA UVUVI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCyHu_e6Os8/VXm79cVHOPI/AAAAAAAAPHc/dH_a-BG3Ao0/s640/MTWARA1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDhr9xPxS1Y/VXm8ZQPfM0I/AAAAAAAAPHk/HKW-54R1_T8/s640/MTWARA2.jpg)
Na Woinde Shizza
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira,amewahimiza wakazi wa Mtwara kuwekeza katika uzalishaji wa mazao ya kilimo na uvuvi ikiwa ni sehemu ya shughuli za kiuchumi zitakazowanufaisha kutokana na...
9 years ago
StarTV30 Dec
Waziri Mpango aapa kuwawajibisha wakwepa kodi
Waziri wa Fedha Dokta Philip Mpango amesema hatakubali kuona ama kuendelea kuwafumbia macho watu watakaobainika kuitumia Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kama pango la kujinufaisha kiuchumi.
Sambamba na hilo, Serikali imeandaa mazingira rafiki ya mifumo ya ukusanyaji mapato ikiwa ni pamoja na kuondoa ushuru kwa Wafanyabiashara ndogo ndogo na badala yake itajikita kwa wafanyabiashara wakubwa.
Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango ameeleza mikakati yake kama sehemu ya kufanikisha adhima ya Serikali...