Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi
Ongezeko la ghafla la kodi ya asilimia 20 kwa bia na vinywaji vikali na baridi ambalo lilitangazwa na Serikali mwezi huu limewaacha watengenezaji wa bidhaa hizo wakiwa katika mfadhaiko mkubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV08 Sep
Lowassa aitaka NEC itoe ufafanuzi wa malalamiko
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutoa ufafanuzi juu ya malalamiko yaliyojitokeza, katika uhakiki wa Daftrai la Wapigakura linalodaiwa kutokuwapo kwa baadhi ya majina.
Mgombea huyo amesema, tume hiyo inapaswa kuwa makini katika uendeshaji shughuli zake kwa sababu dunia inawaangalia na kuitaka kurekebisha kasoro hizo mapema.
Akizungumza katika mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi...
5 years ago
MichuziWAZIRI DK.MPANGO ASEMA SERIKALI INAPENDEKEZA KUSAMEHE KODI YA ONGEZEKO LA THAMAN I(VAT) KATIKA BIMA YA KILIMO CHA MAZAO
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema kuwa Katika Bajeti ya Fedha ya mwaka 2020/2021,Serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye bima ya kilimo cha mazao.
Dk.Mpango amesema hayo leo Bungeni Mjini Dodoma wakati anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali yenye jumla ya Sh.Trilioni 34.88 ambapo katika eneo hilo la kusamehe kodi amefafanua lengo ni kupunguza gharama na kutoa unafuu katika bima za kilimo kwa ajili ya kuwawezesha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s72-c/FR%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza ongezeko la asilimia 35 la faida ya kabla ya kodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s1600/FR%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F6AlFfFcICo/VTDNoA_IAjI/AAAAAAAC3Oc/uLE3nbBnbDo/s1600/FR%2BPIX%2B2%2B.jpg)
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Bakwata yataka ufafanuzi msamaha wa kodi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8HHe3u_oFnw/Vo0RLo-zw8I/AAAAAAAIQ1U/OiOojRGqrxg/s72-c/New%2BPicture.png)
UFAFANUZI JUU YA UKAGUZI WA MATUMIZI YA MISAMAHA YA KODI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8HHe3u_oFnw/Vo0RLo-zw8I/AAAAAAAIQ1U/OiOojRGqrxg/s320/New%2BPicture.png)
ISO 9001:2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMAKumekuwa na upotoshwaji kuhusu zoezi la ufuatiliaji wa matumizi ya misamaha ya kodi inayosimamiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa wafanyabiashara, wawekezaji, Taasisi za Dini na Taasisi zisizo za kiserikali kwa maelezo kwamba TRA inazilenga baadhi ya Taasisi.
Sheria ya Mamlaka ya Mapato Tanzania inaipa Mamlaka ya kusimamia, kukagua na kuhakiki mapato ya Serikali pamoja na kuzuia ukwepaji wa kodi wa aina yoyote ile ikiwemo matumizi mabaya ya...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Serikali itoe tamko mbegu za vinasaba — Wadau
WADAU wa sekta binafsi za kilimo nchini wameitaka serikali kutoa tamko pamoja na takwimu za awali kutokana na uchunguzi unaofanywa juu ya matumizi ya mbegu zilizochanganywa vinasaba. Wadau hao walibainisha...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Serikali itoe tamko michango ya darasa la kwanza
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Mbatia aitaka Serikali itoe tamko anguko la shilingi
Patricia Kimelemeta na Shabani Matutu
WAZIRI kivuli wa Fedha, James Mbatia ameitaka Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutoa tamko kutokana na kuporomoka kwa thamani ya shilingi hali ambayo inahatarisha uchumi wa taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mbatia alisema kama Serikali itashindwa kufanya hivyo, atawasilisha taarifa kwenye kikao kijacho cha Bunge mjini Dodoma kinachotarajiwa kuanza Mei 12 ili wabunge wajadili suala hili.
Alisema mzunguko wa fedha za...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s72-c/1.jpg)
TRA YAWAPIGA MSASA CTI JUU YA SHERIA MPYA YA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI YA MWAKA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-qA9Kmog28Ys/VbtgzdrQicI/AAAAAAAAtiE/Z7FRRC-6nFQ/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PzM5jTpPv2E/Vbtg074rkTI/AAAAAAAAtic/69G3CN58UAg/s640/2.jpg)