Bakwata yataka ufafanuzi msamaha wa kodi
Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) pamoja na taasisi zake limeiomba Serikali kutoa ufafanuzi masuala ya misamaha ya kodi kwa taasisi za dini ili kuondoa changamoto zinazoweza kusababisha upendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Dec
TRA yaibana Bakwata msamaha wa kodi
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Kodi ya TRA yazua kizaazaa Bakwata
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi, ameunda timu ya uchunguzi ambayo itapitia upya mikataba yote mibovu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata).
Pamoja na hali hiyo pia ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Utawala wa Bakwata, Makao Makuu, Karim Majaliwa kupisha uchunguzi juu ya kadhia ya magari 82 na tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Mufti Zuberi ilieleza...
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Google yataka ufafanuzi kuhusu Udukuzi
11 years ago
Habarileo21 May
Bunge lashauri msamaha wa kodi kwenye sukari kufutwa
SERIKALI imeshauriwa kufuta misamaha ya kodi katika sukari inayoagizwa kuziba pengo, na pia isiendelee kupandisha ushuru katika bidhaa za sigara, bia, mvinyo, vinywaji vikali na baridi.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
TPC chaomba msamaha wa kodi vifaa vya umwagiliaji
KIWANDA cha sukari (TPC) kilichopo wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, kimeiomba msamaha wa kodi katika uingizaji wa vifaa vya umwagiliaji ili waweze kuvinufaisha baadhi ya vijiji vinavyozunguka kiwanda hicho. Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s72-c/dar%252Bport.jpg)
MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s640/dar%252Bport.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8HHe3u_oFnw/Vo0RLo-zw8I/AAAAAAAIQ1U/OiOojRGqrxg/s72-c/New%2BPicture.png)
UFAFANUZI JUU YA UKAGUZI WA MATUMIZI YA MISAMAHA YA KODI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8HHe3u_oFnw/Vo0RLo-zw8I/AAAAAAAIQ1U/OiOojRGqrxg/s320/New%2BPicture.png)
ISO 9001:2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMAKumekuwa na upotoshwaji kuhusu zoezi la ufuatiliaji wa matumizi ya misamaha ya kodi inayosimamiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa wafanyabiashara, wawekezaji, Taasisi za Dini na Taasisi zisizo za kiserikali kwa maelezo kwamba TRA inazilenga baadhi ya Taasisi.
Sheria ya Mamlaka ya Mapato Tanzania inaipa Mamlaka ya kusimamia, kukagua na kuhakiki mapato ya Serikali pamoja na kuzuia ukwepaji wa kodi wa aina yoyote ile ikiwemo matumizi mabaya ya...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Serikali itoe ufafanuzi ongezeko hili la kodi
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Wizara yalia na kodi ya vinyago, yataka isitishwe