Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPC chaomba msamaha wa kodi vifaa vya umwagiliaji

KIWANDA cha sukari (TPC) kilichopo wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, kimeiomba msamaha wa kodi katika uingizaji wa vifaa vya umwagiliaji ili waweze kuvinufaisha baadhi ya vijiji vinavyozunguka kiwanda hicho. Akizungumza na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Kodi vifaa vya ujenzi ipunguzwe’

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge, Ardhi, Maliasili na Mazingira, Abdulkarim Shah amesema watapambana kuhakikisha kodi katika vifaa vya ujenzi inapunguzwa ili kila mwananchi aweze kumiliki nyumba bora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali iondoe kodi vifaa vya ujenzi — Bunge

KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imeitaka serikali kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu unaoendeshwa na Shirika la Nyumba Tanzania (NHC). Kuondolewa kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Tibaijuka alalamikia kodi kubwa vifaa vya ujenzi

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba, Maendeleo na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ameshauri kupunguzwa kodi ya vifaa vya ujenzi nchini ili Watanzania walio wengi waweze kumudu bei ya vifaa hivyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Bakwata yataka ufafanuzi msamaha wa kodi

Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) pamoja na taasisi zake limeiomba Serikali kutoa ufafanuzi masuala ya misamaha ya kodi kwa taasisi za dini ili kuondoa changamoto zinazoweza kusababisha upendeleo.

 

9 years ago

Mwananchi

TRA yaibana Bakwata msamaha wa kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa masharti matano kwa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), yanayotakiwa kutekelezwa kabla kupewa msamaha wa kodi kwa gari aina ya Iveco ulioombwa.     

 

11 years ago

Habarileo

Bunge lashauri msamaha wa kodi kwenye sukari kufutwa

SERIKALI imeshauriwa kufuta misamaha ya kodi katika sukari inayoagizwa kuziba pengo, na pia isiendelee kupandisha ushuru katika bidhaa za sigara, bia, mvinyo, vinywaji vikali na baridi.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.

Na Bashir YakubSheria  ya  Uwekezaji  ya  Mwaka  1977 imehamasisha  uwekezaji  kwa  wazawa  na  wasio  wazawa  kwa  kuweka  mazingira  rafiki  kwa  wajasiriamali katika  nyanja  zote.  Wapo  ambao  wanajua fursa hizi  na wamezitumia   kujipatia  maendeleo  na  wapo  ambao  hawajatumia  fursa  hizi.  Nataka  niseme  kitu  kimoja  kuwa  wazawa  wengi  wameshindwa  kufanikiwa  kwa  kutojua  uwepo wa fursa. Wengi  wangependa  kutumia  fursa   kama  zipo  lakini  hawajui ziko  wapi na ...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AIAGIZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUANISIHA NA KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA ENEO LA UMWAGILIAJI NCHINI

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Katikati) akizungumza wakati akizindua Baraza la wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ndogo ya TANAPA Jijini Dodoma leo Tarehe 12 Machi 2020. Wengine pichani ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya (Kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Mhandisi  Marko Ndonde. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akizungumza wakati akizindua Baraza...

 

5 years ago

Michuzi

SHERIA YA KODI YATOA MSAMAHA KWA MAPATO YASIYOZIDI MILIONI 4 KWA MWAKA

Na. Josephine Majura na Saidina Msangi, WFM, DodomaSerikali imeeleza kuwa Sheria ya Kodi imetoa msamaha wa kodi kwa wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na wastaafu ambao mapato yao kwa mwaka hayazidi Shilingi milioni nne.Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Lupembe, Mhe. Joram Ismael Hongoli, aliyetaka kujua sababu za Serikali kutoweka utaratibu wa kutowatoza kodi wastaafu ambao biashara zao hazizidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani